Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanyakyusa jamii ya kibantu kama yalivyo makund meng ya hapa tz,ila mapitio yao mpaka kufka tz ni tofaut kdogo,wao wana asili ya wanubi wakaz wa kale sudan kask,kund hl lilijimega toka unub baada ya kutokea kugombea madarak,malkia nyanseba akaondoka kund la watu mpaka kusin mwa Africa na kurud kukaa morogoro uko mahenge wakajulikana kama wangonde,wankonde baadae wasokile hasa tokana na utaratb wa bhusoka,kunako miaka ya 1700's wakaondoka tena mahenge kufuat milima ya livingstone,wakagawanykakund moja l
lile kund la pili likaenda mpaka kusin mwa ziwa na kupandsha mpaka kalonga lipanda kask upande wa kus wa mto songwe mpaka hao ndio wangonde wa malawi.lugha moja utamadun mmoja.ukifk unyakyusan ktk wilaya zote utakutana na majina ya vijj yanayofana,mf lugombo,bhujes,ighembe,lupaso,mbangamojo(bagomoyo pale tky)itete,masebhe nk.ata mahenge vngne vipo.hawa wakarim,wasafi mno,wanajipenda na kujiamin,k jamii inayofanya ufugaji na kilimo.chakula chao kikuu n ndiz na nyama,pia mchele.
weka reference
lile kund la pili likaenda mpaka kusin mwa ziwa na kupandsha mpaka kalonga lipanda kask upande wa kus wa mto songwe mpaka hao ndio wangonde wa malawi.lugha moja utamadun mmoja.ukifk unyakyusan ktk wilaya zote utakutana na majina ya vijj yanayofana,mf lugombo,bhujes,ighembe,lupaso,mbangamojo(bagomoyo pale tky)itete,masebhe nk.ata mahenge vngne vipo.hawa wakarim,wasafi mno,wanajipenda na kujiamin,k jamii inayofanya ufugaji na kilimo.chakula chao kikuu n ndiz na nyama,pia mchele.
Historian nzuri hii iweke pamoja wetu wafurahiye pindi urudipo mjjni