Naomba kufahamu historia ya WANYAKYUSA:

Naomba kufahamu historia ya WANYAKYUSA:

Nashukuru kwa historia hii kwani ni mnyakyusa wa kabhembe japo nilikuwa sijui vizur historia hii.
ndaga na kyala akutule
 
Abhajanga mkamanya nukusimba mkinyakyusa?
Embhatiko isi nunu fijo.
 
watanzania hatuulizani ukabila.ukiona mtu anauliza kabila basi huyo ana lake jambo.
 
wanyakyusa na wakinga wana uhusiano wa karibu kwa karne nyingi sana tangu wafike ktk ardhi ya mkoa wa mbeya.mwanzo wa uhusiano wao unaanza pale malafyale wa mwanzo wa wanyakyusa aliejulikana kwa jina la mwakyusa hasa hawa wa kaskazin ya mto songwe alipomwalika mzee wa kikinga kuja kufanya tambiko wakati wa kumchagua mtoto wa kumrith wakati wa ubhusoka kutoka ktk watoto waliozaliwa tokana na wakeze ambao ni ipopo.Nkusye na Kibhinga.kuanzia wakati wanyakyusa walikuwa wanafanya matambiko yao kwa msaada wakinga ivo kupelekea kuacha athali ktk miiko na mambo mengine.kuna uhusiano mkubwa wa jadi yao.tutaliweka sawa siku za uson pindi nkimaliza shughuri uku na kurud
 
Sifa moja kuu ya wanyakyusa wanapenda kula. ukitaka kuprove usipike chakula unapokuwa na msiba(watakusema mpaka basi)
 
Nini chanzo cha wasafwa na wanyakyusa kuwa mahasimu wa kudumu? Unakumbuka yale maandishi kwenye kanga miaka ya 80's 'bora msafwa mchafu kuliko mnyakyusa ma.la.ya' hadi zikapigwa marufuku, hii ilikuwa ni muendelezo wa uhasimu wa hawa wakazi wa milima ya mbeya, nn siri ya kutoelewana huku?
 
wanyakyusa na wakinga wana uhusiano wa karibu kwa karne nyingi sana tangu wafike ktk ardhi ya mkoa wa mbeya.mwanzo wa uhusiano wao unaanza pale malafyale wa mwanzo wa wanyakyusa aliejulikana kwa jina la mwakyusa hasa hawa wa kaskazin ya mto songwe alipomwalika mzee wa kikinga kuja kufanya tambiko wakati wa kumchagua mtoto wa kumrith wakati wa ubhusoka kutoka ktk watoto waliozaliwa tokana na wakeze ambao ni ipopo.Nkusye na Kibhinga.kuanzia wakati wanyakyusa walikuwa wanafanya matambiko yao kwa msaada wakinga ivo kupelekea kuacha athali ktk miiko na mambo mengine.kuna uhusiano mkubwa wa jadi yao.tutaliweka sawa siku za uson pindi nkimaliza shughuri uku na kurud

Nimeipenda sana hii,imeniongezea credibility maana mama Ngenya mtarajiwa ni Mnyakyusa halafu mkuu hapa ni mkinga,nachukua point 3 muhimu hapa
 
Umejitahidi kugusa baadhi ya facts nyingine SI za Kweli. Mfano wakinga Ni wanyakyusa kabisa, wandali Ni wanyakyusa kabisa, wamalila Ni wanyakyusa kabisa etc
 
Hebu nikupe kidoogo version ya nyakusa history Yangu.

Miaka ya Mwisho ya 1600 na Mwanzo Kwa 1700 kulitokea njaa upogoroni, lakini njaa haikuwa eneo loote la upogoro Ni baadhi ya maeneo haswahaswa ya kondeni, yake ya kwenye miinuko na baadhi ya Konde nilikuwa na chukula bwerere. Lakini wengi WA wenye chakula walikuwa wachoyo! Sasa waliokosa chakula na kunyimwa wakaadhimia kuhama upogoroni, wakabembelezwa wakakataa I.e. Wakabisha, ndio asili ya neno(jina) wasokile yaani wabishi.

Hii Kwa version Yangu naiita Sokile migration, wasokile walivyoondoka walikuwa wanaacha wahanga njiani Kwa sababu kedekede, mfano wakafika upogoroni mabondeni wakawaacha wandamba na wabena, wakafika makete wakawaacha watu wote walioshindwa kuendelea na safari Kwa tatizo la kupasuka miguu(makegete) I.e ndio asili ya jina makette, wakaishia Suma then wengine wakapita njia mdefu wandali ili kufika Konde (Ngonde) a fertile land.
 
Back
Top Bottom