Naomba kufahamu Hospitali maalum kwa ajili ya watoto

Naomba kufahamu Hospitali maalum kwa ajili ya watoto

Nelly1

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
316
Reaction score
546
Habari wataalam,

Ni matumaini yangu kwamba weekend yenu inaenda poa.

Naomba kufahamu kama kuna hospitali nyingine maalum kwa ajili ya watoto tofauti na ile ya Morocco kwa marehemu Dr Massawe au pale fire kwa Dr Ameer, Jijini Dar es salaam.

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Habari wataalam,

Ni matumaini yangu kwamba weekend yenu inaenda poa.

Naomba kufahamu kama kuna hospitali nyingine maalum kwa ajili ya watoto tofauti na ile ya Morocco kwa marehemu Dr Massawe au pale fire kwa Dr Ameer, Jijini Dar es salaam.

Natanguliza shukrani za dhati.
Wadau bado naomba msaada. Shukrani
 
Kwa upande wangu sijui Ila kila hospital hakosekani daktari mzuri wa watoto tena wanakuaga wazuri kweli, mpeleke mtoto kokote tu ukifika ktk story kwenye folen za wagonjwa utapata kujua hapohapo kupitia kuongea ongea nawamama
 
Pole mkuu bila Shaka unauguliwa, Mtoto akiugua ni changamoto Sana Kuwa makini miaka kumi na mbili iliyopita niliwahi kupoteza mtoto wangu wa kiume (Pumzika kwa Amani Mtoto wangu Marehemu Lawrence).

Anyway Kama upo Dar ES Salaam, Nenda Fire mtaa wa Swahili na Faru kwa dokta wa kihindi Dr Kareem au Livingstone na Mkunguni Dr Kwayo. Muda ni saa moja Asubuhi mpaka saa Kumi Jioni na gharama ni rafiki.

Utaleta mrejesho hapa hao Wahindi ni madaktari Bingwa wa watoto hawabatishi kazi.
 
Pole mkuu bila Shaka unauguliwa, Mtoto akiugua ni changamoto Sana Kuwa makini miaka kumi na mbili niliwahi kupoteza mtoto wangu wa kiume (Pumzika kwa Amani Mtoto wangu Marehemu Lawrence).

Anyway Kama upo Dar ES Salaam, Nenda Fire mtaa wa Swahili na Faru kwa dokta wa kihindi Dr Kareem au Livingstone na Mkunguni Dr Kwayo. Muda ni saa moja Asubuhi mpaka saa Kumi Jioni na gharama ni rafiki.

Utaleta mrejesho hapa hao Wahindi ni madaktari Bingwa wa watoto hawabatishi kazi.
Wanatumia bima? Au kama ni cash kumuona ni shilingi ngapi?
 
Pole mkuu bila Shaka unauguliwa, Mtoto akiugua ni changamoto Sana Kuwa makini miaka kumi na mbili niliwahi kupoteza mtoto wangu wa kiume (Pumzika kwa Amani Mtoto wangu Marehemu Lawrence).

Anyway Kama upo Dar ES Salaam, Nenda Fire mtaa wa Swahili na Faru kwa dokta wa kihindi Dr Kareem au Livingstone na Mkunguni Dr Kwayo. Muda ni saa moja Asubuhi mpaka saa Kumi Jioni na gharama ni rafiki.

Utaleta mrejesho hapa hao Wahindi ni madaktari Bingwa wa watoto hawabatishi kazi.
Wanatumia bima?
Au kama ni cash kumuona ni shilingi ngapi?
 
Shida yako ni hospitali (jina) ama una uhitaji wa Daktari mzuri wa watoto?

mie kila daktari ni mzuri, japokuwa kila mmoja amewiwa karama tofauti

"Beauty is in the eye of the beholder"
 
Wanatumia bima?
Au kama ni cash kumuona ni shilingi ngapi?
Mkuu usiwe muoga kwenye kuuguza pesa inatafutwa, Hawana Bima ni Cash ndiyo maana nikakwambia gharama zao ni rafiki.

Sasa Tena maswali kibaaoooo, naanza kupata mashaka huyo Mtoto wako ana maradhi ya kawaida ila huenda ubahili wako ndiyo kikwazo mtoto kupata tiba muafaka. Ukitumia cash unaona unaibiwa .
 
Mkuu usiwe muoga kwenye kuuguza pesa inatafutwa, Hawana Bima ni Cash ndiyo maana nikakwambia gharama zao ni rafiki.

Sasa Tena maswali kibaaoooo, naanza kupata mashaka huyo Mtoto wako ana maradhi ya kawaida ila huenda ubahili wako ndiyo kikwazo mtoto kupata tiba muafaka. Ukitumia cash unaona unaibiwa .
Sidhani kama ni uoga. Mtu unakua unajipanga ili matibabu yasikwame njiani
 
Mkuu usiwe muoga kwenye kuuguza pesa inatafutwa, Hawana Bima ni Cash ndiyo maana nikakwambia gharama zao ni rafiki.

Sasa Tena maswali kibaaoooo, naanza kupata mashaka huyo Mtoto wako ana maradhi ya kawaida ila huenda ubahili wako ndiyo kikwazo mtoto kupata tiba muafaka. Ukitumia cash unaona unaibiwa .

Sikuona haja ya kumjibu jamaa majibu ya hivyo kiasi hiki!!
 
Mkuu usiwe muoga kwenye kuuguza pesa inatafutwa, Hawana Bima ni Cash ndiyo maana nikakwambia gharama zao ni rafiki.

Sasa Tena maswali kibaaoooo, naanza kupata mashaka huyo Mtoto wako ana maradhi ya kawaida ila huenda ubahili wako ndiyo kikwazo mtoto kupata tiba muafaka. Ukitumia cash unaona unaibiwa .
Mkuu hii lugha uliyoitumia sio sawa kabisa, kiukweli haipendezi hata kidogo.
 
Mkuu hii lugha uliyoitumia sio sawa kabisa, kiukweli haipendezi hata kidogo.
Mkuu kuna maswali yanakera sana, mtu mhitaji Hana maswali Mengi. Sikutegemea maswali mepesi kiasi hicho.

Nipo sahihi kwa majibu niliyompa Kuna Wakati mtu Akiwa na bima anahisi hahusiki kulipa cash. (Kitu ambacho siyo kweli)

Halafu pia swali lake ni kujua hospital ya watoto, Sasa kuhusu gharama angejua akifika, Gharama zinabadilika kila uchwao.

Pia kwa MZAZI ukifika mahali mtoto anaumwa usihoji Sana maswala ya Bima, Kimbilia AFYa ya mtoto wako kwanza.

Mimi Nina Bima Ila Kuna hospital nilifika kumuona Specialist ni 50,000/= Bima yako unaweka Pembeni kwanza.

Kwa hiyo maswali anayouliza ikiwa amembiwa gharama zake ni rafiki nadhani ilitosha kujua hawatumii bima.
 
Mkuu usiwe muoga kwenye kuuguza pesa inatafutwa, Hawana Bima ni Cash ndiyo maana nikakwambia gharama zao ni rafiki.

Sasa Tena maswali kibaaoooo, naanza kupata mashaka huyo Mtoto wako ana maradhi ya kawaida ila huenda ubahili wako ndiyo kikwazo mtoto kupata tiba muafaka. Ukitumia cash unaona unaibiwa .
Ninachomaanisha ukijua gharama za kumuona daktari utajua ujipange vipi. Unaweza ukafungwa safari ya kwenda kumuona mfukoni una shilingi elfu hamsini kumbe kumuona tu ni elfu hamsini bado dawa ndoa maana nikatakq kujua gharama ya kumuona inachezwa ngapi ili mtu ikijipanga kwenda uende kamili.

Kama ni maswali mengi yapotezee.Mtu hawezi kuwa bangili maisha tunatofautiana kiuwezo.

Aliyekuwa wewe ndiye aliyenunua miye.Hongera kwa kuwa na maisha mazuri
 
Ninachomaanisha ukijua gharama za kumuona daktari utajua ujipange vipi. Unaweza ukafungwa safari ya kwenda kumuona mfukoni una shilingi elfu hamsini kumbe kumuona tu ni elfu hamsini bado dawa ndoa maana nikatakq kujua gharama ya kumuona inachezwa ngapi ili mtu ikijipanga kwenda uende kamili.


Kama ni maswali mengi yapotezee.Mtu hawezi kuwa bangili maisha tunatofautiana kiuwezo.

Aliyekuwa wewe ndiye aliyenunua miye.Hongera kwa kuwa na maisha mazuri
Mkuu nahisi unakichwa kigumu kuelewa,Mosi Mimi hakuna mahali nimeandika Nina maisha mazuri.

Pili swali lake aliuliza hospital ya watoto yenye madaktari bingwa, nikamjibu.Mimi sifanyi kazi hapo hospital kiasi cha kujua Bei za Leo maana ni miaka mingi nimetoka hapo na bei zinabadilika kila uchwao.

Ulitaka nimtajie Bei ya miaka iliyopita!!.......…
 
hellow brother, pole kwa kuuguza, nenda muhimbili kitengo cha watoto muulize doctor kissenge, he is a very good doctor wa watoto, kwanza ni nadra kumpa mtoto dawa, huwa anaangalia chanzo, na kama akimuandikia mtoto dawa mfn sindano jiandae kufuatiliwa, anajali sana watoto na kiukweli anajua huwa habahatishi.
mwingne anaitwa doctor Ben pale muhimbili, nae ni mzuri sana si unajua walisomea japan wote, huyu ni kijana hvyo ana uwanja mpana wa utafti.

by the way dr kissenge wapo wawili, kuna dr wa watoto pia dr wa moyo ila wote ni ndugu.

huyu kissenge huwa anahudumia pale alfa clinic nadhan mara 3 kwa wiki, bima wanapokea nhif, jubilee, strategies pia AAR km sikosei.

Kuhusu dr ben nje ya MNH sina taarifa anahudumu clinic gani hope wadau watasaidia


By the way waweza nipgia 0713924581
 
1629358918691.png
 
Back
Top Bottom