Mr Multpurpose
Member
- May 14, 2023
- 24
- 14
Naomba kufahamu juu ya biashara ya stationery
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mzee ndo post gani hii! Jaribu kuandika kitu kinachovutia watu wakujibu, weka unachokijua na ambacho unahitaji watu wakusaidie kujua. Ongeza nyama kidogoNaomba kufahamu juu ya biashara ya stationery

Wewe hata biashara ya kutembeza matembele uwezi ifanya sababu huna akili. Watu ni millionaires sababu ya biashara ya stationery.Mzee ni Bora utembeze matembele kuliko iyo biashara ya stationary...
Stationery ni zaidi ya printing and typing. Unauza huduma mbalimbali na vifaa vya maofisi.Stationary is all about printing and typing![]()
Kwanini???Mzee ni Bora utembeze matembele kuliko iyo biashara ya stationary...
kunatofauti kati ya stationery na stationaryWewe hata biashara ya kutembeza matembele uwezi ifanya sababu huna akili. Watu ni millionaires sababu ya biashara ya stationery.
Okay nimekuelewa, lakini stationery karibu zote uwa naona zimeandikwa stationary nafikiri hiyo ni common mistake ambayo imegeuka kama kawaida.kunatofauti kati ya stationery na stationary
Jaribu kuwa specific kidogo,unataka kuifanya unaomba ushauri ama tayar unaifanya imekupeleka ndivyo sivyo ama nini hasaNaomba kufahamu juu ya biashara ya stationery
Sio kweli,katika biashara zenye kulipa vizuri stationery ni moja wapo,nilifanya mahali wakati fulani kama msimamizi mkuu ,ni biashara nzuri mno,Mzee ni Bora utembeze matembele kuliko iyo biashara ya stationary...
Kwa mtu anaetaka kuanza hii biashara unamshauri aweke nguvu kwenye kitu gani?Sio kweli,katika biashara zenye kulipa vizuri stationery ni moja wapo,nilifanya mahali wakati fulani kama msimamizi mkuu ,ni biashara nzuri mno,
Akili,ubunifu,kujituma na uaminifu
Inategemea na eneo analohitaji kufanyia biashara,wateja aliowataget, na anaifanya biashara hiyo kwa ukubwa gani na atatoa huduma,jumla na rejareja,ama vyote pamoja na zabuni,Kwa mtu anaetaka kuanza hii biashara unamshauri aweke nguvu kwenye kitu gani?
Mbona mimi naipenda sanaMzee ni Bora utembeze matembele kuliko iyo biashara ya stationary...
Ok nimekusoma, mimi wa mtaji mdogo, nnafukuzia mil 5 nikiipata hivi punde nataka nifanye hii biashara nataka ninunue printer canon photocopier IR 2520. Nataka nikae golini mwenyewe.Inategemea na eneo analohitaji kufanyia biashara,wateja aliowataget, na anaifanya biashara hiyo kwa ukubwa gani na atatoa huduma,jumla na rejareja,ama vyote pamoja na zabuni,
1.Asiweke mali nyingi chini,Si lazima aweke pesa nyingi kwenye mali iliyolala kama mtaji si mkubwa,
2.Afanye zabuni zipo na zinatangazwa kila mahala(za taasisi binafsi ni nzuri zaidi)
3. Kama ataweza awe na vitendea kazi vyenye uwezo mzuri(printers kubwa zenye speed kubwa)
4. Asiajiri mtu kama hana jambo linalomlazimu kufanya hivyo,stationery ina pesa nyingi zisizo na tracking
5.location ni jambo muhimu sana hasa kama una mtaji mdogo,japo sio kikwazo cha kufanya biashara hiyo
6. Toa huduma nzuri kujenga jina
Full set computer desktop nzuri kwa kazi za stationery ni ipi?Kwanza jiridhishe na eneo la biashara kama linaweza kuwa na mzunguko mzuri wa wateja.
Copy na printing inalipa sana kama mzunguko upo wa kutosha.
Huduma ambata ni passport size,soft drinks,vocha & uwakala usisahau na huduma ya internet hata desktop mbili hii itakulipa sana kipindi cha ku apply vyuo,mikopo,matokeo na kama uko vizuri kwenye internet hapa pana hela nyingi sana maana wa tz wengi bado kwenye internet.
Mashine nzuri kwa copy/ printing ni canon, chukua 2520( hizi nyingi ni used) ukikosa 2425 sio mbaya pia tafuta printer ya epson kwa ajili ya kuprint document za Rangi.
Namaanisha usinunue mzigo mkubwa ambao mzunguko wake utakua mdogo,heri ukawa na cash hata 3M kwa ajili ya zabuni ndogo ndogo ama zile kazi za haraka zenye faida ,zabuni ukiwa mwepesi zipo mpaka za mtaji wa laki 3,4....Ok nimekusoma, mimi wa mtaji mdogo, nnafukuzia mil 5 nikiipata hivi punde nataka nifanye hii biashara nataka ninunue printer canon photocopier IR 2520. Nataka nikae golini mwenyewe.
Hiyo point namba 1 kuweka mali chini unamaanisha nini?