Naomba kufahamu kazi ya Shanga na Cheni za kiunoni

Naomba kufahamu kazi ya Shanga na Cheni za kiunoni

Shanga avae mtoto mwembamba slim flani hivi au yeyote mwenye umbo la kati sio mnene sio mwembamba ndio zinanoga sio ukute jitu bongeeee halafu linavaa shanga,inakuaga kama mzigo wakuni uliofungwa kamba unasubiri kubebwa.
[emoji3][emoji3][emoji3]......
 
Madogo sio Makubwa sana
Yaani kabisa unamwaga kila kitu hadharani! Wadogo zangu mshanishinda tabia, wewe nakugawa bure! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Shanga avae mtoto mwembamba slim flani hivi au yeyote mwenye umbo la kati sio mnene sio mwembamba ndio zinanoga sio ukute jitu bongeeee halafu linavaa shanga,inakuaga kama mzigo wakuni uliofungwa kamba unasubiri kubebwa.
Sio unvaaa Yale mengi mshanga ...kamoja TU kachain kiunoni
 
Kuna vitu vinavutia kuvitazama ila havina mchango kwenye tendo. Mfano tko kubwa au kifua mchongoko. Ukianza kupump na kuroll utajikuta unasahau kuchezea tena hizo shanga hii yote ni kwakua shimo baya ni la nyok tu haya mengine tunaishi nayo.
Kifua mchongoko, ugonjwa wangu huo [emoji39][emoji97]
 
Shanga inaongeza mvuto wa mwanamke hasa ukiwa na ke d
Shape yako na rangi vinachangia
Kama unakidhi vigezo hvy
Tafuta somo akufundishe matumizi yake
 
Back
Top Bottom