Naomba kufahamu kazi ya Shanga na Cheni za kiunoni

Shanga avae mtoto mwembamba slim flani hivi au yeyote mwenye umbo la kati sio mnene sio mwembamba ndio zinanoga sio ukute jitu bongeeee halafu linavaa shanga,inakuaga kama mzigo wakuni uliofungwa kamba unasubiri kubebwa.
Acha roho mbaya kwa wenzio
 
Ukute mtoto wastan mwenye umbo la kinyamwezi black kakupigia kitu cha buzwagi na kindani kidogo cha mererani wewe kama alafu anajua kutumia nyonga, sauti nzuri na kwikwi kwa mbali, Hapo hata kama ni mpale lazima upite show room mtungulie ki aisit alafu wewe chukua bodaboda,
 
Hizo zinachangamsha mifupa ya nyonga!!?? Hivi ushawahi kupanda farasi au ndio hujui kazi ya ile kamba unayoshika ukiivuta vuta anaongesa spidi!?


Kichwa BoX
 
Shanga avae mtoto mwembamba slim flani hivi au yeyote mwenye umbo la kati sio mnene sio mwembamba ndio zinanoga sio ukute jitu bongeeee halafu linavaa shanga,inakuaga kama mzigo wakuni uliofungwa kamba unasubiri kubebwa.
Tobaaaaaaaaah lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muulize MTU wako akihitaji hata kama hupendi itakubidi hata kwa kujilazimisha maana labda ndio ugonjwa wake
 
Shanga avae mtoto mwembamba slim flani hivi au yeyote mwenye umbo la kati sio mnene sio mwembamba ndio zinanoga sio ukute jitu bongeeee halafu linavaa shanga,inakuaga kama mzigo wakuni uliofungwa kamba unasubiri kubebwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mrejesho Wa Hii Thread Vp, Mwaka Unaisha, Uchaguzi Mkuu Tayari. Nini Kinakwamisha
 
Mrejesho Wa Hii Thread Vp, Mwaka Unaisha, Uchaguzi Mkuu Tayari. Nini Kinakwamisha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....Bado nafanya utafiti...sijafikia conclusion.
 
Nipo darasani hapa kujifunza mambo mapya
 
Nenda Kwanza makutupora jkt ulipopangiwa hayo Mambo ya shanga waachie wenyewe.........
Je, hizi shanga na chain za kiunoni kazi Yake Nini hasa..au Ni urembo TU..

Je, zikivaliwa huwa zinahamasisha Jinsia me?..
 
Chanjo ishaanza kufanya kazi mwilini...🙄duh!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…