Naomba kufahamu kazi ya Shanga na Cheni za kiunoni

Naomba kufahamu kazi ya Shanga na Cheni za kiunoni

Funguka mjumbe!! Niongezee maarifa, upo na Ngariba hapa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
hahahahah kafundwe kwanza
 
Zinasaidia kuelea ukiwa kwenye maji kitalaamu wanasema "It increase buoyance on the body". Kujaribu vaa kisha jirushe kwenye maji.
 
Zinasaidia kuelea ukiwa kwenye maji kitalaamu wanasema "It increase buoyance on the body". Kujaribu vaa kisha jirushe kwenye maji.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...hata Kama sijui kuongelea..nkarushe TU ziwani..Shanga zinakufanya uelee...

Haya ndo Mambo ya maji maji...war.. Risasi vs water
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...hata Kama sijui kuongelea..nkarushe TU ziwani..Shanga zinakufanya uelee...

Haya ndo Mambo ya maji maji...war.. Risasi vs water
Jaribu usiogope wale wakina dada wanaojirusha kwenye boti za kwenda Zanzibar huwa wanaelea sababu ya kuvaa shanga na hawazami.
 
Yaani Wewe
Kabla Ya October 28 Tuonane Tuondoe Lile Jambo
Uwe Modo Ukienda Beach Waulizane [emoji16][emoji23][emoji1][emoji57][emoji2]
Usingepita hapa..nakuongelea kitambi..ningeshangaa Sana..

Namsubiria wakufua TU.
 
Back
Top Bottom