Bia batta
Member
- Aug 18, 2015
- 66
- 34
Hv washika dau ukiacha "beberu" Dii Esi Tii Vii na chanel zake za SS, hakuna kisimbusi chochote local and affordable kitakachoonyesha hii michuano ili tufanye mchakato tukilipie hata leo ili tuangalizie haya mashindano tukiwa makwetu badala ya kujazana kwenye ma-bar na vibanda umiza kuziangalia timu zetu pendwa.
Hawa makaburu ada za vifurushi vyao ziko juu sana asee kiasi kwamba kama ni mtu wa kipato cha kawaida ukiamua kulipia unaweza sababisha watu wasipate mahitaji muhimu nyumbani......!!
Kama kuna yeyote mwenye taarifa za uhakika embu tujuzane.
Hawa makaburu ada za vifurushi vyao ziko juu sana asee kiasi kwamba kama ni mtu wa kipato cha kawaida ukiamua kulipia unaweza sababisha watu wasipate mahitaji muhimu nyumbani......!!
Kama kuna yeyote mwenye taarifa za uhakika embu tujuzane.