Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia asije kurusha ngumi [emoji23][emoji23][emoji23]Hebu itazame vizuri hapo kwenye picha, hiyo gari nikija nayo ulipo sitakunyang'anya mkeo kweli ndugu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeuliza tu lakini sio kwamba nitafanya hivyo?
Hebu itazame vizuri hapo kwenye picha, hiyo gari nikija nayo ulipo sitakunyang'anya mkeo kweli ndug
Kwa safari ndefu mafuta inatumia vizuri,ndani ya mji inakunywa,inaitakiwa fundi anayezijua kosa kidogo injini na gearbox zinakufa, alafu vitu vyake gharama injini ilala inasimama 8mHabarini wanajamvi.
Naomba kwa wanaoifahamu na wenye experience na hii gari wanipe maoni yao kuihusu. Maana nataka nifanye maamuzi magumu ila bado sijapata user experience ya watumiaji wa hapa Tanzania.
View attachment 2712919
Huna jeuri ya kumiliki gari,kuna uzi wako humu unatafuta kazi yoyote tu,we ulizia bei ya bodabodaUmejuaje ngoja niichukue tuje kumtest, usimpange chochote nije kukuonyesha maajabu ya hii gari.
Usishtuke mkuu sio bei hiyo. Ni gari inahitaji matunzo. Service lazima ufanye kwa usahihi na kuweka vimiminika sahihi. Sio oil za arusha njiro. Engine naWeka total quatz 5w 30 Gear box unaweka transmission fluid T-IV ya toyota. Na huwa sibadili vimiminika. Air filter badili kila service 2. Au hakikisha ni safi kila wakati. Inatumia sana upepo. Mashine ni kiboko Hazisumbui kwa maana ya kuharibika hovyo. Pata ambayo ni 4wd. Suspension iko Sawa sana. Kwa safari ndefu ni nzuri sana. Ina nafasi ya kutosha sana ndani buti kubwa ya kuweka mizigo. Ac yake iko njema sana. Sio zile za kujaza jaza gesi. Ikiwa unamatumizi makubwa na upo mjini unaweza ku combine na Gesi asilia sehemu kuweka mitungi ni ya kutosha.Khaaaaaah 8 milioni?
Injinj mswaki milion 4 suzuki S kubwaKhaaaaaah 8 milioni?
Ndiyo bei zake,hii inafanye hata za mkononi kuwa chini kuliko kruger au harrier, wakati bei ya kuagiza azitofautianiKhaaaaaah 8 milioni?
Utakuwa umenichanganya sijui na nani leta huo uzi hapa link yake kama ushahidi, ukiweza kuprove hiyo nakupatia elfu 50 kama samahani kwa kukuita muongo.Hu
Huna jeuri ya kumiliki gari,kuna uzi wako humu unatafuta kazi yoyote tu,we ulizia bei ya bodaboda