Cleverman324
JF-Expert Member
- Nov 17, 2018
- 389
- 631
Ahsante sana mkuku nimekuwa nikiuza lita 20 mpaka 25 kwa siku..hasa maeneo ya vikindu mpaka toangoma. Hivyo natamani kufikia lita 50 kwa siku.nifanye nini kuweza kukuza soko. Nalenga watu wa mjiniKila kitu kina lipa ukikifanya kwa moyo wote na kwa weledi na nidhamu ya hali ya juu
Ahsante mkuuMh heading na content Ni tofauti kabisa
Hahahaha!hata Mimi nilijua hivyo nikaingia kwa pupa ili nijifunze kutajirika mwisho wa mada nakutana na swali.Mkuu nilijua unatutaarifu kumbe unatuuliza
Maziwa yako unauza bei gani kwa lita mkuu?Habari wanajamvi..leo nimependa kuangazia biashara ya maziwa ya mgando..mm ni msakatonge ninaejipatia rizki kwenye biashara ndogondogo ila ningependa kupata maarifa zaidi juu ya masoko ya mtindi..kwani nimekuwa nikiuza kwa kutembeza mitaani. Hivyo ningependa kujua soko la maofisini na kwingineko ili kukuza biashara
Mkuu lita ya mtindi ni2500..nusu 1500..pia lita tano ni 12500Maziwa yako unauza bei gani kwa lita mkuu?
Ahsante sana mkuu..huko ni mwendo wa nyumbakwa nyumba. NakaribiaLete huku sinza upige hela
Ahsante sana mkuu..huko ni mwendo wa nyumbakwa nyumba. Nakaribia
Na Lita moja anainunua bei gani kwa wafugajiMkuu unauzaje haya maziwa?