naomba kufahamu kuhusu chuo cha muccobs

mtoto wa kibopa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
5,274
Reaction score
6,257
hivi field ya ya mwaka wa pili (degree )hufanywa wakati gan wa likizo.
 
ungeweza kukaa kimya tu kimya tu kama huna jibu mkuu na sio kukafishiana
Tukiwaendekeza sana hamchelewi kuja na story za mke wangu ana boyfriend, naomba ushauri....ni upuuzi jitu zima unaanzisha thread kwamba kituo cha daladala kimehamishwa kwa hiyo unaomba kushauriwa!
 
Tukiwaendekeza sana hamchelewi kuja na story za mke wangu ana boyfriend, naomba ushauri....ni upuuzi jitu zima unaanzisha thread kwamba kituo cha daladala kimehamishwa kwa hiyo unaomba kushauriwa!

hapo ndo umemaliza mkuu??
 
Yani kuanzia faculty yako, department yako, wanafunzi walio mbele yako,na wanafunzi wote unaosama nao umekosa jibu? Kweli wanachuo wa kusoma slide ni janga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…