Naomba kufahamu kuhusu driving Course pale NIT

Naomba kufahamu kuhusu driving Course pale NIT

Samahani ninaomba kuuliza utaratibu wa kujiunga chuo cha udereva unakuwaje?, coz kuna mtu alienda chuoni akaambiwa aende kulipia benk kabla hata ajapewa fomu ya kujiunga, na hata alipoomba fomu aliambiwa hawezi kupewa fomu kabla hajaenda kulipia benk hela ya mafunzo ya udereva, sasa sjui kuwa ndiyo inavyokuwa, ninaomba mnisaidie kunielewesha, na huwa ni shilingi kwa kozi ya miezi miwili.
Veta unalipia laki 2 ya kozi na book 5 ya fomu unarudi chuo wanakupa fomu ya afya ukafanyiwe uchunguzi na TRA form unarudisha mambo mengine yanaendelea
 
Huu Uzi ni wa mda kidogo ila najua ntajibiwa vizuri,nlisoma basic driving nikapata leseni ya magumash ambayo ni kubwa yaani c1, 2,3 ambayo iliisha nikarenew tena, sasa nataka Nika some PSV ikiwezekana c kavu nipate, je wataniruhusu nijiunge na kile chuo cha NIT wakati leseni yangu ni kubwa? Na VP wanaangalia leseni na cheti kabla ya kuanza mafunzo? Pia naomba kufaham Ada yake ipoje kwa sasa na ratiba Yao ya kupokea wanafunzi wa course mpya za driving, naomba kuwasilisha
 
Huu Uzi ni wa mda kidogo ila najua ntajibiwa vizuri,nlisoma basic driving nikapata leseni ya magumash ambayo ni kubwa yaani c1, 2,3 ambayo iliisha nikarenew tena, sasa nataka Nika some PSV ikiwezekana c kavu nipate, je wataniruhusu nijiunge na kile chuo cha NIT wakati leseni yangu ni kubwa? Na VP wanaangalia leseni na cheti kabla ya kuanza mafunzo? Pia naomba kufaham Ada yake ipoje kwa sasa na ratiba Yao ya kupokea wanafunzi wa course mpya za driving, naomba kuwasilisha
Mkuu ulienda nit??
 
Mfano mtu ulipata leseni pasipo kwenda driving xul baada ya miaka kupita unaweza kwenda kusoma driving xul VETA hususani
 
Wakuu naomba majib sahh,
Nahitaj kwnda kusomea driving course *NIT* ambayo nikimaliza nitakua naweza nikapata licence class C zote na E coz nna class A and D ambayo nimerenew juzi Feb, 2019.
Je nn natkiw nfnye nmetmbelea tovut ya NIT lkn cjapata useful information zozote, na gharama za course kw ujumla pmoja na muda..
Course niliyolenga ni ile ambayo ita iwezesha kudrive gar za STL, DFP, DFPL, V8's [emoji4] etc wanaita cjui VIP na pia nna uzoef wa kutosha wa kuendesha Gar both Automatic and manuals transmission
Gar ndgo,Pickup, Trucks 113,94,124, iveco, yan kasoro bus tu ndio ctk kujua ksn cna malengo hayo..
Kw maana ajira nyng cku hz znatka mivyet kulko ujuzi..
Mwnye uelew plz aniongoze katk hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu Uzi ni wa mda kidogo ila najua ntajibiwa vizuri,nlisoma basic driving nikapata leseni ya magumash ambayo ni kubwa yaani c1, 2,3 ambayo iliisha nikarenew tena, sasa nataka Nika some PSV ikiwezekana c kavu nipate, je wataniruhusu nijiunge na kile chuo cha NIT wakati leseni yangu ni kubwa? Na VP wanaangalia leseni na cheti kabla ya kuanza mafunzo? Pia naomba kufaham Ada yake ipoje kwa sasa na ratiba Yao ya kupokea wanafunzi wa course mpya za driving, naomba kuwasilisha

Vipi ulivyoenda veta ilikuwaje kuhusu vyeti,au nako ulipita njia za panya hadi kupata C
 
Nina Leseni Class "D" Ina mwaka mmoja chet cha udereva kipo.nataka nikaongeze daraja "E" je, inawezekena? Na nikasomee wapi NIT au VETA mwenye experience atujuze kidogo.
 
NIT huwez soma kwa kuwa hujatimiza vgezo,class D lesen iwe imekaa miaka 3 ndo unaweza pokewa,nenda veta kasomee psv utajaziwa E C1,C2 C3
Nina Leseni Class "D" Ina mwaka mmoja chet cha udereva kipo.nataka nikaongeze daraja "E" je, inawezekena? Na nikasomee wapi NIT au VETA mwenye experience atujuze kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom