Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
Veta unalipia laki 2 ya kozi na book 5 ya fomu unarudi chuo wanakupa fomu ya afya ukafanyiwe uchunguzi na TRA form unarudisha mambo mengine yanaendeleaSamahani ninaomba kuuliza utaratibu wa kujiunga chuo cha udereva unakuwaje?, coz kuna mtu alienda chuoni akaambiwa aende kulipia benk kabla hata ajapewa fomu ya kujiunga, na hata alipoomba fomu aliambiwa hawezi kupewa fomu kabla hajaenda kulipia benk hela ya mafunzo ya udereva, sasa sjui kuwa ndiyo inavyokuwa, ninaomba mnisaidie kunielewesha, na huwa ni shilingi kwa kozi ya miezi miwili.
Mkuu ulienda nit??Huu Uzi ni wa mda kidogo ila najua ntajibiwa vizuri,nlisoma basic driving nikapata leseni ya magumash ambayo ni kubwa yaani c1, 2,3 ambayo iliisha nikarenew tena, sasa nataka Nika some PSV ikiwezekana c kavu nipate, je wataniruhusu nijiunge na kile chuo cha NIT wakati leseni yangu ni kubwa? Na VP wanaangalia leseni na cheti kabla ya kuanza mafunzo? Pia naomba kufaham Ada yake ipoje kwa sasa na ratiba Yao ya kupokea wanafunzi wa course mpya za driving, naomba kuwasilisha
Mkuu ckuenda tena N. I. T, nlienda veta kusomea c kavu na nimeshasoma tayar kiongoziMkuu ulienda nit??
Ushafanikiwa kupata na leseni?? Ulikuwa na leseni class ganiMkuu ckuenda tena N. I. T, nlienda veta kusomea c kavu na nimeshasoma tayar kiongozi
Lessen bado mkuu, ila nlikua na c1, lakn kama unahtaji kwenda kusoma ukiwa na class E unaruhusiwa kusomea C kavuUshafanikiwa kupata na leseni?? Ulikuwa na leseni class gani
Mafunzo ni siku ngapi mkuuLessen bado mkuu, ila nlikua na c1, lakn kama unahtaji kwenda kusoma ukiwa na class E unaruhusiwa kusomea C kavu
Mafunzo ni siku 10 sawa na wiki mbili kama unasomea psvMafunzo ni siku ngapi mkuu
Pouwah mzee babaMafunzo ni siku 10 sawa na wiki mbili kama unasomea psv
Poa mkuuPouwah mzee baba
Mkuu C1 uliipataje?Lessen bado mkuu, ila nlikua na c1, lakn kama unahtaji kwenda kusoma ukiwa na class E unaruhusiwa kusomea C kavu
Huu Uzi ni wa mda kidogo ila najua ntajibiwa vizuri,nlisoma basic driving nikapata leseni ya magumash ambayo ni kubwa yaani c1, 2,3 ambayo iliisha nikarenew tena, sasa nataka Nika some PSV ikiwezekana c kavu nipate, je wataniruhusu nijiunge na kile chuo cha NIT wakati leseni yangu ni kubwa? Na VP wanaangalia leseni na cheti kabla ya kuanza mafunzo? Pia naomba kufaham Ada yake ipoje kwa sasa na ratiba Yao ya kupokea wanafunzi wa course mpya za driving, naomba kuwasilisha
Nina Leseni Class "D" Ina mwaka mmoja chet cha udereva kipo.nataka nikaongeze daraja "E" je, inawezekena? Na nikasomee wapi NIT au VETA mwenye experience atujuze kidogo.
Vipi ulivyoenda veta ilikuwaje kuhusu vyeti,au nako ulipita njia za panya hadi kupata C