Papaa Azonto JF-Expert Member Joined Jun 30, 2013 Posts 319 Reaction score 277 Dec 7, 2020 #41 Ndaghine said: NIT huwez soma kwa kuwa hujatimiza vgezo,class D lesen iwe imekaa miaka 3 ndo unaweza pokewa,nenda veta kasomee psv utajaziwa E C1,C2 C3 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mkuu mtu mwenye D amepata mwaka huu, anaweza kwenda VETA kuongeza hayo madaraja na bei zao veta ni how much
Ndaghine said: NIT huwez soma kwa kuwa hujatimiza vgezo,class D lesen iwe imekaa miaka 3 ndo unaweza pokewa,nenda veta kasomee psv utajaziwa E C1,C2 C3 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mkuu mtu mwenye D amepata mwaka huu, anaweza kwenda VETA kuongeza hayo madaraja na bei zao veta ni how much
C chidymadenge New Member Joined Jan 21, 2025 Posts 1 Reaction score 1 Jan 21, 2025 #42 Habari ya wakati huu wapendwa Naomba kuuliza, ukiwa umesoma basic driving course ukapata leseni na kuitumia miaka zaidi ya miwili, je utaweza kwenda kusomea kozi ya VIP grade two bila kusoma PSV?
Habari ya wakati huu wapendwa Naomba kuuliza, ukiwa umesoma basic driving course ukapata leseni na kuitumia miaka zaidi ya miwili, je utaweza kwenda kusomea kozi ya VIP grade two bila kusoma PSV?