Kwanza anaathirika kisaikolojia,pili anaweza kuambukizwa magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi,anaweza kuchanwa sehemu za siri au kuumizwa sehemu yeyote ya mwili na anaweza kupata mimba isiotarajiwa kama yai lake lilikuwa limefika siku ya kubalehe.
Kwanza anaathirika kisaikolojia,pili anaweza kuambukizwa magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi,anaweza kuchanwa sehemu za siri au kuumizwa sehemu yeyote ya mwili na anaweza kupata mimba isiotarajiwa kama yai lake lilikuwa limefika siku ya kubalehe.