Baba Parokoo
Member
- Jul 20, 2016
- 60
- 17
Mwanamke au binti anayekaribia kuvunja ungo/kubalehe anapata madhara gani makubwa au yoyote kiafya kama akibakwa?
Naomba majibu yenye utu wana JF
Naomba majibu yenye utu wana JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ikitokea amechanwa kisha akashonwa baade akiolewa kunaweza tokea shida yeyote mkuu?Kwanza anaathirika kisaikolojia,pili anaweza kuambukizwa magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi,anaweza kuchanwa sehemu za siri au kuumizwa sehemu yeyote ya mwili na anaweza kupata mimba isiotarajiwa kama yai lake lilikuwa limefika siku ya kubalehe.