specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 618
Wanajukwaa,kwa anayeifahamu shule ya Nia iliyopo Morogoro maeneo ya nane nane anijulishe taarifa hizi:-
1.shule imesajiliwa au ndio ipo kinagumashi?!
2.kiwango cha ufaulu kipoje kwa mitihani ya taifa(NECTA)
3.je shule inawalimu wakutosha?
Nitashukuru kwa taarifa zenu wandugu.
1.shule imesajiliwa au ndio ipo kinagumashi?!
2.kiwango cha ufaulu kipoje kwa mitihani ya taifa(NECTA)
3.je shule inawalimu wakutosha?
Nitashukuru kwa taarifa zenu wandugu.