Ndio wewe uyo dogo nini? ππBujibuji bana acha kamba mimi nimesoma jangwani primary school na mazwi secondary school
SawaNenda kwenye jukwaa la historia... Utapata majibu yako huko.
Kama vipi nitag huo uziNenda kwenye jukwaa la historia... Utapata majibu yako huko.
YeahNdo huyo mwana aliyevaa "sketi" au?
Ya kweli haya mkubwa?Alikuwa na show yake moja, anawekewa jiwe kubwa sana kifuani, (sio Meko). Uzito tu wa like jiwe unakufanya upate korona na ukiwa umeacha kiasi kikubwa sana cha mboji sakafuni.
Akishawekewa jiwe hilo, hutafutwa mtu mwenye nguvu zake, Kisha huanza kulipiga na nyundo kubwa Sana.
Power Mabula alistaafu michezo yake baada ya kwenda Rukwa, sumbawanga, huko alipita mitaani akiwa juu ya Land Rover 109, akionyesha promo.
Kuna mtaa unaitwa Mazwi, akakuta mtoto wa miaka mitano analisukuma Scania na trela lake, akastaabu sana, akauliza baba yako Yuko wapi? Akajibiwa kaenda kuuleta mlima uleeeee, auweke jirani na nyumba yetu
Shukrani kwa mchango wako bosiMkuu Mara ya mwisho kumuona Mimi iliikuwa miaka ya 2000's kama sijakosea,alikuwa kahama -shinyanga katika Kijiji cha Segese,hapo hakuwa tena akifanya viinimacho macho vyake,alikuwa ameokoka na anahubiri neno la bwana,hadi sasa Leo hii sijui yuko wapi
Duh sawamwishoni mwa miaka ya 90 aliwahi kufanya mahojiano na kituo kimoja cha television. sina hakika ni itv au dtv. alieleza historia yake kwa undani.
tembelea studio ya itv au dtv kaulize kuhusu power mabula. nahisi watakuwa na clip zake kwenye library zao.
Sio hata mnefili mkuu. Kina great Khali tuwaitaje? Mimi na huu urefu wangu na mwili nikipiga vyuma naweza nikaonekana jitu kama makumazanWakubwa Salaam,
Kama title inavyojieleza, napenda kujua historia ya huyu mwamba aliyetikisa kwa umwamba miaka ya nyuma yuko wapi kwa sasa? Alifariki? Lini? Akiwa na Umri gani?
Kama yupo ana umri gani sasa hivi?
Nakumbuka miaka ya nyuma alikula sana hela za maonyesho ya wazi na ya ndani, ilikuwa uwezo wake binafsi au kuna ziada?
NB: Nahisi huyu jamaa ni masalia ya wanefiliView attachment 1741503
Daaah, we mzee muongo kinyama [emoji23][emoji23][emoji23]Alikuwa na show yake moja, anawekewa jiwe kubwa sana kifuani, (sio Meko). Uzito tu wa like jiwe unakufanya upate korona na ukiwa umeacha kiasi kikubwa sana cha mboji sakafuni.
Akishawekewa jiwe hilo, hutafutwa mtu mwenye nguvu zake, Kisha huanza kulipiga na nyundo kubwa Sana.
Power Mabula alistaafu michezo yake baada ya kwenda Rukwa, sumbawanga, huko alipita mitaani akiwa juu ya Land Rover 109, akionyesha promo.
Kuna mtaa unaitwa Mazwi, akakuta mtoto wa miaka mitano analisukuma Scania na trela lake, akastaabu sana, akauliza baba yako Yuko wapi? Akajibiwa kaenda kuuleta mlima uleeeee, auweke jirani na nyumba yetu
Sasa huyo vyuma alikuwa hapigi kama ilivyokuwa kwa wanefiliSio hata mnefili mkuu. Kina great Khali tuwaitaje? Mimi na huu urefu wangu na mwili nikipiga vyuma naweza nikaonekana jitu kama makumazan
Alikuwa na show yake moja, anawekewa jiwe kubwa sana kifuani, (sio Meko). Uzito tu wa like jiwe unakufanya upate korona na ukiwa umeacha kiasi kikubwa sana cha mboji sakafuni.
Akishawekewa jiwe hilo, hutafutwa mtu mwenye nguvu zake, Kisha huanza kulipiga na nyundo kubwa Sana.
Power Mabula alistaafu michezo yake baada ya kwenda Rukwa, sumbawanga, huko alipita mitaani akiwa juu ya Land Rover 109, akionyesha promo.
Kuna mtaa unaitwa Mazwi, akakuta mtoto wa miaka mitano analisukuma Scania na trela lake, akastaabu sana, akauliza baba yako Yuko wapi? Akajibiwa kaenda kuuleta mlima uleeeee, auweke jirani na nyumba yetu
Hahahah wafipa shikamoni..Alikuwa na show yake moja, anawekewa jiwe kubwa sana kifuani, (sio Meko). Uzito tu wa like jiwe unakufanya upate korona na ukiwa umeacha kiasi kikubwa sana cha mboji sakafuni.
Akishawekewa jiwe hilo, hutafutwa mtu mwenye nguvu zake, Kisha huanza kulipiga na nyundo kubwa Sana.
Power Mabula alistaafu michezo yake baada ya kwenda Rukwa, sumbawanga, huko alipita mitaani akiwa juu ya Land Rover 109, akionyesha promo.
Kuna mtaa unaitwa Mazwi, akakuta mtoto wa miaka mitano analisukuma Scania na trela lake, akastaabu sana, akauliza baba yako Yuko wapi? Akajibiwa kaenda kuuleta mlima uleeeee, auweke jirani na nyumba yetu
Wanefili ndio kinananiSasa huyo vyuma alikuwa hapigi kama ilivyokuwa kwa wanefili
Walikuwa na miili na miguvu tu
Great Kai na huyo jamaa hapo Jamaa ni mkubwa ki Size ya mwili, Kai ana misuli tu.Sio hata mnefili mkuu. Kina great Khali tuwaitaje? Mimi na huu urefu wangu na mwili nikipiga vyuma naweza nikaonekana jitu kama makumazan
Inatakiwa hawa watueleze ngosha wa mwanza Nyani Ngabu SHIMBA YA BUYENZE ngoshaWakubwa Salaam,
Kama title inavyojieleza, napenda kujua historia ya huyu mwamba aliyetikisa kwa umwamba miaka ya nyuma yuko wapi kwa sasa? Alifariki? Lini? Akiwa na Umri gani?
Kama yupo ana umri gani sasa hivi?
Nakumbuka miaka ya nyuma alikula sana hela za maonyesho ya wazi na ya ndani, ilikuwa uwezo wake binafsi au kuna ziada?
NB: Nahisi huyu jamaa ni masalia ya wanefiliView attachment 1741503
Acha bana mkuu.Great Kai na huyo jamaa hapo Jamaa ni mkubwa ki Size ya mwili, Kai ana misuli tu.
Kai ni Body builder kama umemjua natumai unawajua pia Strong Man kama huwajui wafuatilie.Acha bana mkuu.
daahh turudishie chenji manπAlikuwa na show yake moja, anawekewa jiwe kubwa sana kifuani, (sio Meko). Uzito tu wa like jiwe unakufanya upate korona na ukiwa umeacha kiasi kikubwa sana cha mboji sakafuni.
Akishawekewa jiwe hilo, hutafutwa mtu mwenye nguvu zake, Kisha huanza kulipiga na nyundo kubwa Sana.
Power Mabula alistaafu michezo yake baada ya kwenda Rukwa, sumbawanga, huko alipita mitaani akiwa juu ya Land Rover 109, akionyesha promo.
Kuna mtaa unaitwa Mazwi, akakuta mtoto wa miaka mitano analisukuma Scania na trela lake, akastaabu sana, akauliza baba yako Yuko wapi? Akajibiwa kaenda kuuleta mlima uleeeee, auweke jirani na nyumba yetu