Wadau wa elimu habari!
Samahani mimi ni Mtanzania niliepata elimu yangu ya form four mwanzoni mwa miaka ya 2000 na kupata div 3 ya point 25, nikafanikiwa kuendelea na kidato cha tano, lakini kuna matatizo yalitokea ndani ya family, hivyo sikuweza kumaliza kidato cha sita.
Nikaingia mtaani kuhangaika na maisha miaka yote hiyo, na sasa nimedhamiria kurudi shule kufanya degree, tatizo ni kua natakiwa nifanye miaka mitatu kwanza (1 year certificate + 2 years diploma) ndio nianze bachelor, na mimi muda huo naona ni mrefu sana kwangu.
Nimesikia kua kuna test zinaitwa Recognation of Prior Learning (RPL) inatolewa na T.C.U na ukifaulu kwa kiwango fulani unakua eligible kusoma bachelor degree kwa universities za hapa nchini, kwa wale ndugu zangu wenye ufahamu wa jambo ili, au msaada mwingine wowote wa kiushauri naombeni mnisaidie.
Ahsanteni sana!
Samahani mimi ni Mtanzania niliepata elimu yangu ya form four mwanzoni mwa miaka ya 2000 na kupata div 3 ya point 25, nikafanikiwa kuendelea na kidato cha tano, lakini kuna matatizo yalitokea ndani ya family, hivyo sikuweza kumaliza kidato cha sita.
Nikaingia mtaani kuhangaika na maisha miaka yote hiyo, na sasa nimedhamiria kurudi shule kufanya degree, tatizo ni kua natakiwa nifanye miaka mitatu kwanza (1 year certificate + 2 years diploma) ndio nianze bachelor, na mimi muda huo naona ni mrefu sana kwangu.
Nimesikia kua kuna test zinaitwa Recognation of Prior Learning (RPL) inatolewa na T.C.U na ukifaulu kwa kiwango fulani unakua eligible kusoma bachelor degree kwa universities za hapa nchini, kwa wale ndugu zangu wenye ufahamu wa jambo ili, au msaada mwingine wowote wa kiushauri naombeni mnisaidie.
Ahsanteni sana!