Xhakaa JF-Expert Member Joined Nov 18, 2014 Posts 338 Reaction score 270 Mar 17, 2015 #1 Habar wakuu ! Kuna rumours yakua mwaka huu hakutakua na full-time school admission kwa in-service nurses(EN) wanaotaka ku-upgrade, isipokua kutakua na distance learning tuu. kwa mwenye ufafanuz juu ya suala hilo anisaidie manake linanivuruga sana
Habar wakuu ! Kuna rumours yakua mwaka huu hakutakua na full-time school admission kwa in-service nurses(EN) wanaotaka ku-upgrade, isipokua kutakua na distance learning tuu. kwa mwenye ufafanuz juu ya suala hilo anisaidie manake linanivuruga sana