Naomba kufahamu kuhusu Upgrade ya NURSING

Xhakaa

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
338
Reaction score
270
Habar wakuu ! Kuna rumours yakua mwaka huu hakutakua na full-time school admission kwa in-service nurses(EN) wanaotaka ku-upgrade, isipokua kutakua na distance learning tuu.

kwa mwenye ufafanuz juu ya suala hilo anisaidie manake linanivuruga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…