124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
Thanks and ameen!ubaba mzuri/mwema.
mlee uzuri mtoto Nasra aje akufae baadae.,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks and ameen!ubaba mzuri/mwema.
mlee uzuri mtoto Nasra aje akufae baadae.,
asubuhi nawapa twins uji wa lishe ya kutengeneza mwenyewe, huo ni lazima kwao SI OMBI! yaani nahakikisha dada anawanywesha kabla ya kwenda shule, huo uji unakuwa na mchanganyiko wa vitu mbalimbali isipokuwa dagaa, wana allergy na samaki na mayai! kwasababu wamegoma kula wheetabix yenyewe, naimix kwenye uji wakati unachemka, inayeyukia huko! naweka na asali badala y asukari na butter or blueband kidogo! kama tukisaga unga bila karanga, naweka pia peanut butter!
saa nne mpaka saa 7 ni maziwa ya ng'ombe! wanamaliza lita kwa mchana mmoja, na lita usiku. saa 7 mchana ni ugali lazmaaaaaa wale, kama leo na maharage, kesho mchuzi, keshokutwa bamia za nazi, inayofuata kabichi nk, wanalala mpaka 10 au 11, wakiamka ni fruits, kama leo papai, kesho ndizi, keshokutwa machungwa, nimemwambia dada hata kama hakuna tunda siku hiyo wapewe carotts, saa 12 wanatolewa nje for a walk mpaka saa 11 au 12, wakirudi wanakula NDIZI ZA KUPIKA NAZIMIX NA NYAMA YA KUKU WA KIENYEJI AU SAMAKI MARA MOJAMOJA SANA MAANA WANA ALLERGY, KAMA LEO NIKIBLEND, KESHO NASONGA KWA MKONO ILI WAZOEE OL WEATHER, then kuoga! baada ya hapo ni kuruka kwenye viti, kuvuruga vitanda vya watu nk.
by the time ni saa mbili usiku, wana njaa tena wanakula tena food rice, lakini maziwa tunakuwa tumeshapak kwenye chupa zao tayari kwa kulala, in between wanaweza KUnywa soda, biscuits, chama etc!
kabla ya kulala wanapata chakula cha kiroho, sala ni muhimu! HIVYO TUWAKUMBUSHE WATOTO KUSALI KABLA YA KULALA, SI OMBI NI LAZIMA!