Naomba kufahamu lishe ya mtoto

Nilisoma mahali kwenye group fulani kuwa kuchanganya aina mbalimbali za lishe na kuipika kwa pamoja haileti maana iliyokusudiwa, I mean karanga, wheat etc yaani kila kitu kipikwe kivyake

Sasa mimi nawawekea tofauti tofauti yani ulezi yenyewe, unga yenyewe, nafaka za aina moja kivyao

Lakini nachohakikisha asubuhi wana cornflakes mchana wanakula shule, wakirudi wana cornflakes, usiku wanakula tunachokula

Kuna wadogo ambao hawaendi shule ndio huo uji na maziwa na supu kama tunapika nyama ya kuku au ya ng'ombe wanatolewa supu, ila usiku na wao wanakula tunachokula (mchana ugali unapikwa though )

Anyway natafuta mpishi mzuri jamani if anyone knows one kindly pm me, am not a good cook either na safari za mikoani zinajaza chakula na matunda na samaki ambazo naona hazitendewi haki kwenye mapishi

Wapi Asha Diiii
 
wana miaka 7 sasa! mmenikumbusha malezi! to GOG BE THE GLORY! natamani kichanga tena, loool
 

Ratiba yako nimeipenda ila inataka uwe na mfuko wenye kina kirefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…