Kwa mliosoma chuo hiki cha SAUT kama "St Augustive" naomba kujua yafuatayo:
Je, Kimesajiliwa?
Je, Kinatoa course ya accountancy degree?
Nahitaji kuanza masomo ya account "degree". Nisije nikapoteza pesa na muda hapo maana vyuo vya mkoa wa Ruvuma sijawahi kuvielewa kabisa.