benitus bonifas
Member
- Nov 15, 2015
- 9
- 7
Salamu zenu wakubwa shikamoo
Mimi ni kijana ninae jitafuta sana
Naishi Mwanza najishughulisha na uchomeleaj, ila tatizo ni moja sisi hatukopesheki nahitaji mkopo wakuanzia laki saba. Nimeunda banda nifungue another plan ili niweze kupungunza ukali wa maisha ila je natoa wapi napataje?
Naomba ushauri wenu
Mimi ni kijana ninae jitafuta sana
Naishi Mwanza najishughulisha na uchomeleaj, ila tatizo ni moja sisi hatukopesheki nahitaji mkopo wakuanzia laki saba. Nimeunda banda nifungue another plan ili niweze kupungunza ukali wa maisha ila je natoa wapi napataje?
Naomba ushauri wenu