Naomba kufahamu ni maeneo gani ambayo hayana uswahili mwingi wizi mwingi sehemu tulivu kwako wewe na Mali zako Kwa dar

Naomba kufahamu ni maeneo gani ambayo hayana uswahili mwingi wizi mwingi sehemu tulivu kwako wewe na Mali zako Kwa dar

real hustler

Senior Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
143
Reaction score
204
Habari Wana great thinker
Katika harakati za kuwaza nitafanya biashara gani na nikae wapi nimekaa nimefikilia nikaona dar es salaam utakuwa mkoa Bora kwangu Kwa kuanza maisha.

Umri miaka 25 jinsia kiume.

Sina UZOEFU wowote na mkoa huo ila naamini kutobolea hapo sababu zilizonifanya kuwaza hivyo idadi kubwa ya watu pia mzunguko mkubwa wa biashara pia upatikanaji na huduma nyingi za muhimu.

Naomba kufahamu ni maeneo gani ambayo hayana uswahili mwingi wizi mwingi sehemu tulivu kwako wewe na Mali zako Kwa dar na pasiwe mbali na mjini.

Na Kwa uonavyo, je dar ni mji mzuri Kwa kuanzia maisha au Una weza nishauri kama kuna mkoa mwingine mzuri zaidi Kwa kijana mpambanaji.
Afu nizidi changanua mawazo.

Ukisema na gharama za wastani kwa chumba masters itakuwa vizuri zaidi.

Natokea kigoma mkoani.

Natanguliza shukrani kwako mchangiaji.
 
Habari Wana great thinker
Katika harakati za kuwaza nitafanya biashara gani na nikae wapi nimekaa nimefikilia nikaona dar es salaam utakuwa mkoa Bora kwangu Kwa kuanza maisha.

Umri miaka 25 jinsia kiume.

Sina UZOEFU wowote na mkoa huo ila naamini kutobolea hapo sababu zilizonifanya kuwaza hivyo idadi kubwa ya watu pia mzunguko mkubwa wa biashara pia upatikanaji na huduma nyingi za muhimu.

Naomba kufahamu ni maeneo gani ambayo hayana uswahili mwingi wizi mwingi sehemu tulivu kwako wewe na Mali zako Kwa dar na pasiwe mbali na mjini.

Na Kwa uonavyo, je dar ni mji mzuri Kwa kuanzia maisha au Una weza nishauri kama kuna mkoa mwingine mzuri zaidi Kwa kijana mpambanaji.
Afu nizidi changanua mawazo.

Ukisema na gharama za wastani kwa chumba masters itakuwa vizuri zaidi.

Natokea kigoma mkoani.

Natanguliza shukrani kwako mchangiaji.
Unaanza maisha kama mjasiriamali au machinga right? Njoo mbagala
 
Hivi mbagala kuna sehemu hamna uswahili?
Anyway hata hivyo Tz hamna sehemu isiyo na uswahili labda kama hawa ishi watz hapo.
Mbagala kubwa mkuu, ishi kijichi au vikunai mana kibisahara mbagala rangi tatu/zakiem haijakaa kinyonge. Huwez kufeli unless kama hutak kukaa mbagala. Tena mbagala fungua juis ya miwa zakiem au rangi 3
 
Inaonekana ni mambo safi hadi unafikiria room ya kueleweka na sehemu ya kueleweka ilhali unaanza maisha..

Kama huko ulipo kunakufanya uishi vizuri, ni nini kinakutamanisha kuingia Dar
 
Inaonekana ni mambo safi hadi unafikiria room ya kueleweka na sehemu ya kueleweka ilhali unaanza maisha..

Kama huko ulipo kunakufanya uishi vizuri, ni nini kinakutamanisha kuingia Dar
Mbona Uzi unajieleza kaka
 
Mbagala kubwa mkuu, ishi kijichi au vikunai mana kibisahara mbagala rangi tatu/zakiem haijakaa kinyonge. Huwez kufeli unless kama hutak kukaa mbagala. Tena mbagala fungua juis ya miwa zakiem au rangi 3
Me nauza viatu mbagala
 
Kwamba ukwepe uswahili wakati na wewe ni mswahili!,kama hutaki uswahili nenda kafanye biashara Masaki,Mbezi ya chini au mbweni,pia ukae huko huko!,Tofauti na hapo Uswahili haukwepeki!

Pia mfanyabiashara yeyote ni mwizi,Sasa wewe unataka kutuaminisha hutaki maeneo yenye wizi wakati mwizi wa kwanza utakuwa wewe!
 
Kwamba ukwepe uswahili wakati na wewe ni mswahili!,kama hutaki uswahili nenda kafanye biashara Masaki,Mbezi ya chini au mbweni,pia ukae huko huko!,Tofauti na hapo Uswahili haukwepeki!

Pia mfanyabiashara yeyote ni mwizi,Sasa wewe unataka kutuaminisha hutaki maeneo yenye wizi wakati mwizi wa kwanza utakuwa wewe!
😅 Huu mwandiko wa backbenchers 😅
Nipe maeneo ambayo sio mbali na mjini afu kuna usalama wa Mali zangu😅
 
Back
Top Bottom