real hustler
Senior Member
- Mar 12, 2021
- 143
- 204
Habari Wana great thinker
Katika harakati za kuwaza nitafanya biashara gani na nikae wapi nimekaa nimefikilia nikaona dar es salaam utakuwa mkoa Bora kwangu Kwa kuanza maisha.
Umri miaka 25 jinsia kiume.
Sina UZOEFU wowote na mkoa huo ila naamini kutobolea hapo sababu zilizonifanya kuwaza hivyo idadi kubwa ya watu pia mzunguko mkubwa wa biashara pia upatikanaji na huduma nyingi za muhimu.
Naomba kufahamu ni maeneo gani ambayo hayana uswahili mwingi wizi mwingi sehemu tulivu kwako wewe na Mali zako Kwa dar na pasiwe mbali na mjini.
Na Kwa uonavyo, je dar ni mji mzuri Kwa kuanzia maisha au Una weza nishauri kama kuna mkoa mwingine mzuri zaidi Kwa kijana mpambanaji.
Afu nizidi changanua mawazo.
Ukisema na gharama za wastani kwa chumba masters itakuwa vizuri zaidi.
Natokea kigoma mkoani.
Natanguliza shukrani kwako mchangiaji.
Katika harakati za kuwaza nitafanya biashara gani na nikae wapi nimekaa nimefikilia nikaona dar es salaam utakuwa mkoa Bora kwangu Kwa kuanza maisha.
Umri miaka 25 jinsia kiume.
Sina UZOEFU wowote na mkoa huo ila naamini kutobolea hapo sababu zilizonifanya kuwaza hivyo idadi kubwa ya watu pia mzunguko mkubwa wa biashara pia upatikanaji na huduma nyingi za muhimu.
Naomba kufahamu ni maeneo gani ambayo hayana uswahili mwingi wizi mwingi sehemu tulivu kwako wewe na Mali zako Kwa dar na pasiwe mbali na mjini.
Na Kwa uonavyo, je dar ni mji mzuri Kwa kuanzia maisha au Una weza nishauri kama kuna mkoa mwingine mzuri zaidi Kwa kijana mpambanaji.
Afu nizidi changanua mawazo.
Ukisema na gharama za wastani kwa chumba masters itakuwa vizuri zaidi.
Natokea kigoma mkoani.
Natanguliza shukrani kwako mchangiaji.