Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo kwenye mahusiano na mwanamke wa ki-Ethiopia, naomba kifahamishwa kitabia wapo vp?
Kwani wamburu wanagawa sana mkuu?Kama wamburu tu kupigiwa kama kawa
😀😀😀😀😀😀Badala ya kutuelezea aliyoyaona anakuja kutuuliza sisiMkuu upo nae alafu hujui tabia yake ? Anyway nipe namba hata ya rafiki yake huko DM tuliwakilishe vyema Taifa la mama kizimkazi
Mkuu anakwama sana😂 au ameanza kuona red flag😀😀😀😀😀😀Badala ya kutuelezea aliyoyaona anakuja kutuuliza sisi
Ila ngoja nimsaidie kumpa tips chache ili baadae asije kuleta uzi mwingine wa masikitikoMkuu anakwama sana😂 au ameanza kuona red flag
WachafuNipo kwenye mahusiano na mwanamke wa ki-Ethiopia, naomba kifahamishwa kitabia wapo vp?
Ngoja nikueleze kwa ufupi japo sijawahi kuwa na mpenzi wa kiethiopia ila nimewahi kuwa nao karibu kwenye mambo ya harakati.Nipo kwenye mahusiano na mwanamke wa ki-Ethiopia, naomba kifahamishwa kitabia wapo vp?
Ni warembo na wako sexy. Personality inategemea ulipowakuta. Ukiwakuta Nairobi ni bidhaa premium, uwe na dau kubwa kuwahonga as opposed na Wabantu.Nipo kwenye mahusiano na mwanamke wa ki-Ethiopia, naomba kifahamishwa kitabia wapo vp?
Amuulize huyo jamaa.INSIDER MAN kuja kutoa darasa kwa bwana mdogo hapa...
Atamwambia anununue IST aanzishe UBER😃INSIDER MAN kuja kutoa darasa kwa bwana mdogo hapa...
Huu ni uongo wa mwaka.Kama wamburu tu kupigiwa kama kawa
DNA ile ile,mpe moyo tuHuu ni uongo wa mwaka.
Ethiopia hata kuokota malaya ni ngumu mnoo.
Waethiopia wanaabudu ndoa sana.