Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Apambane na hali yake😁
Wanyakyusa wengi wana sura personal. Ila wapo peace sana. Na dada zao wamebarikiwa maumbile ya kuvutia. Pia wengi wao ni weusi.
Umefika hapa?View attachment 2343475
Ukishakuwa mweusi ni kigezo tosha kuwa mwaisaa...ni kama ilivyo kigezo cha waha..ukishakuwa mfupi ni uthibitisho tosha
Na mimi ni mweusi kwelikweli ukisikia giza totoro ndio mimi😅Wanyakyusa wengi wana sura personal. Ila wapo peace sana. Na dada zao wamebarikiwa maumbile ya kuvutia. Pia wengi wao ni weusi.
Ni wa hovyo haijapata tokea..Nikuwa nakuheshim kitokana na umli wako kumbe m2 wa hovyo sana
Baac huo ndo uthibitisho...m nna ma uncle zangu ni wachaga ila wameloea mbeya..ni walikuwa weupe ila wame adopt mazingira ya huko ss iv ni weus tiii...wameambukizwa unyakyusaNa mimi ni mweusi kwelikweli ukisikia giza totoro ndio mimi😅
Wanyakyusa na utulivu wapi na wapi🙆🙆🙆🤣🤣🤣Hapana mkuu, bahati mbaya katika majina yagu yote matatu hakuna la kiswahili/kikabila. Mara nyingi naambiwa sura yangu ni ya kinyakyusa (utulivu??? Ukimya??)
Ugonjwa wangu😋😋😋Na mimi ni mweusi kwelikweli ukisikia giza totoro ndio mimi😅
You've scratched the floor mate....✌️Weusi
Uso mpana kidogo unaoenda na mwili tough kidogo
Urefu wa kati
Moyo wa huruma na kusaidia watu wenye uhitaji ni wepesi
Shangwe(ucheshi)na Kila mtu ila Kaz kupeana ni kiundugu kias (wachaga wametuzidi hapa)
Uongeaji na kujisifu kiasi(wahaya wametuzidi hapa)
Upole Kwa wake zao ila nje wanatembeza(mbwa amezidiwa hapa)😉
🤣🤣Kichwa Changu utakiweza? Mbona utaishia kuvaa nguo bila kumwaga😜🚴🚴Niwahi nimebaki mwenyewe tu hapa jf
😳😳😳 Tupo kubaka watoto hapa😥🤔Pua langu halitishi sana😅
View attachment 2344880
Nipo hapa🤣Hivi Kuna mnyaki pisi kali??🚶🚶
😅😅Pole yao. Mimi ni mweusi wa kuzaliwa. Vipi hawajaanza ulokole na kuvaa viatu vya mashangaziBaac huo ndo uthibitisho...m nna ma uncle zangu ni wachaga ila wameloea mbeya..ni walikuwa weupe ila wame adopt mazingira ya huko ss iv ni weus tiii...wameambukizwa unyakyusa
😘😘😘😘🤸🤸Ilimradi wewe ni mwanamke basi kwangu utakaa tu hata uwe na miiba na mabawa