Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha hayatakiwi uyakatie tamaa Mwaisa.....Daaaah mzee mbona unanivunja moyo ase
Jo Dada Vinci huju....Jamani 😂 Mwambulo jwani sasa😂
Dharau wanazo ila si wabaya sana[emoji57][emoji57] aah wapi, wanajikutaga wao ni watu kuzidi wengine
Usikate tamaa kabisa Mwaisa, wakina Mwamaposa na Ulimboka wako nyuma yako........Ni sifa ya Mwanadamu kukata tamaa
Itabidi nioe mnyaki aisee wana roho wa Mungu pia. Hawajaweka maslahi mbele kwenye mahusiano hapo ndio wanawashinda pisi kali zetu za chuga!Mwaisa mtu mbad...
Nasikia ukigombana na mnyakyusa wewe ni hufai ktk jamii... Hawa watu wako peace sana wanajiamini na wanajipenda sana... Nikiongeza mke lazima nioe mnyakyusa... Wana nyota ya kutoboa kimaisha
Ahsante mkuuWababe, wapambanaji, wanajiamini, hawaembrace kudeka,
Usimdekee mnyaki aise- hasa hawa mdem wa pwani wanaopenda kudekadeka - utaambulia maumivu.
Wana msimamo sana.
nikikumbuka zingine nitaziweka hapa.
Hata mimi sifahamu kabisa mwaisa!Hivi mwaisa ni nini?
Ndio maana!! Japokua makabila yanayosifika kwa black colour ni mengi! Mfano mimi ni mnyaki black in colour bt nafananishwa na wahaya na wakurya! Nikisema mnyakyusa wanakataa yaani nimepata ndugu wengi wa kihaya na kikurya kwa sababu hiyo.Na mimi ni mweusi kwelikweli ukisikia giza totoro ndio mimi[emoji28]
Ndio ushangae sasa mimi ninavyojua wanyakyusa ni watu wa misifa amshaamsha kama zote maneno kibao! Na ndio maana wanaongoza kuteka akili za watu kwa maneno tu we chukulia mfano pastor mgogo, mzee wa upako, burudozer, na wengine wengi bila kumsahau babu wa loliyondo aliye wauzia vikombe maelfu ya watu. Hawa jamaa wako vzr hata ukifwatili tasnia ya habari, Michezo, na burudani wamejaa sana huko.Wanyakyusa na utulivu wapi na wapi[emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cc Heaven Sent
Haha mie siyo pisi kali mdogo wangu ila wapo