tunage
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 252
- 168
Wakuu habari zenu,
Kumekua na hivi vituo vya tiba mbadala na ukienda wanatoa huduma ya kupima mwili mzima,
Sasa nahitaji kujua kuhusu hivi vimashine(walioenda wanavijua) wanavokutumia kupima unashika tu bila hata kuchukua sample mwilini ni vinauhakika kweli au ni udanganyifu tu
Kumekua na hivi vituo vya tiba mbadala na ukienda wanatoa huduma ya kupima mwili mzima,
Sasa nahitaji kujua kuhusu hivi vimashine(walioenda wanavijua) wanavokutumia kupima unashika tu bila hata kuchukua sample mwilini ni vinauhakika kweli au ni udanganyifu tu