Pole sana mheshimiwa kwa kutenguliwaMasaa machache yaliyopita,nimeona baadhi ya mawaziri waandamizi na wakurugenzi wakitenguliwa nafasi zao.Swali langu,Je viongozi wa umma nao huwa wanalipwa fao la kukosa ajira kwa kipindi cha miezi 6?Baada ya miezi 6,hawalipwi chochote hadi baada ya miezi 18 ndipo huchukua pensheni zao zote?Naomba kusaidiwa sababu kuishi bila kipato kwa miezi 18 sio jambo rahisi na ni uonevu mkubwa kutoka mashirika yetu ya hifadhi za jamii
Swali zuri sana mtoa mada kauliza ila kuna kima kama huyu analeta utoto vitu vingine kama hujui ni bora ukakaha kimya kuliko kuleta utoto kama huu.Pole sana mheshimiwa kwa kutenguliwa
Punguza matusiSwali zuri sana mtoa mada kauliza ila kuna kima kama huyu analeta utoto vitu vingine kama hujui ni bora ukakaha kimya kuliko kuleta utoto kama huu.
Akitenguliwa uwaziri haimaanishi na ubunge wake unakoma... Bado anaendelea kula jasho letu la kodi kiroho safi kabisa huku akiendelea kugonga meza kwa mbwembwe....Masaa machache yaliyopita,nimeona baadhi ya mawaziri waandamizi na wakurugenzi wakitenguliwa nafasi zao.Swali langu,Je viongozi wa umma nao huwa wanalipwa fao la kukosa ajira kwa kipindi cha miezi 6?Baada ya miezi 6,hawalipwi chochote hadi baada ya miezi 18 ndipo huchukua pensheni zao zote?Naomba kusaidiwa sababu kuishi bila kipato kwa miezi 18 sio jambo rahisi na ni uonevu mkubwa kutoka mashirika yetu ya hifadhi za jamii