Masaa machache yaliyopita, nimeona baadhi ya mawaziri waandamizi na wakurugenzi wakitenguliwa nafasi zao.
Swali langu: Je, viongozi wa umma nao huwa wanalipwa fao la kukosa ajira kwa kipindi cha miezi 6? Baada ya miezi 6 hawalipwi chochote hadi baada ya miezi 18 ndipo huchukua pensheni zao zote?
Naomba kusaidiwa sababu kuishi bila kipato kwa miezi 18 sio jambo rahisi na ni uonevu mkubwa kutoka mashirika yetu ya hifadhi za jamii.
Swali langu: Je, viongozi wa umma nao huwa wanalipwa fao la kukosa ajira kwa kipindi cha miezi 6? Baada ya miezi 6 hawalipwi chochote hadi baada ya miezi 18 ndipo huchukua pensheni zao zote?
Naomba kusaidiwa sababu kuishi bila kipato kwa miezi 18 sio jambo rahisi na ni uonevu mkubwa kutoka mashirika yetu ya hifadhi za jamii.