Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

Akili 09 Nguvu 01

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
695
Reaction score
1,377
Chefs,

Juzi kati hapa nilipigwa na Homa moja matata sana hadi kupelekea kulazwa Hospitali. Ashukuriwe Mwenyezi Mungu na Madaktari kwa sasa homa imeisha. Hii homa ilipelekea kupungua sana kwa Mwili wangu hadi nguo zangu hazinitoshi.

Sasa ndugu Chefs naomba mnijuze vyakula ambayo naweza kuvitumia ili nirejeshe Mwili wangu na nguo zipate kunikaa vyema kama zamani. Naitaji nifahamu vyakula vitavyofanya ninenepe kidgo ili nirudi kwenye mwili wangu wa zamani.

Ahsante.
 
Chefs,

Juzi kati hapa nilipigwa na Homa moja matata sana hadi kupelekea kulazwa Hospitali. Ashukuriwe Mwenyezi Mungu na Madaktari kwa sasa homa imeisha
Hii homa ilipelekea kupungua sana kwa Mwili wangu hadi nguo zangu hazinitoshi.

Sasa ndugu Chefs naomba mnijuze vyakula ambayo naweza kuvitumia ili nirejeshe Mwili wangu na nguo zipate kunikaa vyema kama zamani. Naitaji nifahamu vyakula vitavyofanya ninenepe kidgo ili nirudi kwenye mwili wangu wa zamani.

Ahsante.
Mkuu! Gonga beer kwa saana! Alafu piga michemsho, supu na chapati, nyama choma na maji na juice kubalance alcohol! Alafu anza tena beer kwa saana! Ndani ya wiki mbili utakuwa ubebeki! Nakuambia utakuja PM kunishukuru na kunitumia hela ya vicha
 

Attachments

  • Screenshot_20230716-164452_Google.jpg
    Screenshot_20230716-164452_Google.jpg
    22.5 KB · Views: 63
Mkuu! Gonna beer kwa saana! Alafu piga michemsho, supu na chapati, nyama choma na maji na juice kubalance alcohol! Alafu anza tena beer kwa saana! Ndani ya wiki mbili utakuwa ubebeki! Nakuambia utakuja PM kunishukuru na kunitumia hela ya vicha
Sawa mkuu, lakini miongoni mwa Conditionalities nilizopewa ni kutokutumia Beer kaibsaa
Ngoja nijaribu iyo njia nyingine
 
Wee bwana wee! Ebu ficha aibu ndogondogo izi
Nmeandika Chef na nmemaanisha Chef na sio Chief
Kabla ya kuandika Ujinga wako hapa basi jipe muda chukua Kamusi angalia tofauti ya Chef na Chief
👇🏻👇🏻👇🏻 we ndio ficha AIBU
 

Attachments

  • Screenshot_20230716-164452_Google.jpg
    Screenshot_20230716-164452_Google.jpg
    22.5 KB · Views: 61
Kitimoto usikizahau nabia za Kilimanjaro baridii

Mm ninazo kilo 72 na ikishuka inabaki 69! I'll Sina unene wa kupitiliza

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nlikua na Kilo 80 wakati naumwa nikawa na Kilo 78, lakin sina unene n nmepungua kdogo so nataka nijenge Mwili wangu urudi normal yaan nisiwe mwembamba wala nisiwe mnene, saiz nmekua mwembamba kidogo
 
Back
Top Bottom