F16 Falcon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 750
- 1,645
Kama 🐖🐖🐖🤣🤣🤣Tumia protein supplements
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama 🐖🐖🐖🤣🤣🤣Tumia protein supplements
Ale vyakula vya kuongeza nguvu ZAKIUME 🤣🤣🤣Unenepe ili iweje?
Wewe kula vyakula vya kuongeza nguvu mwilini siyo vya kongeza unene.
Mtoa mada usikubali huyu ni kaka yake shetani anakuraghai tu hapo kimbia,Tumia vidonge vya ukimwi kuungia mbonga kama mbadala wa mchuzi mix.utanishukuru
Kama [emoji241][emoji241][emoji241][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo zipi izo, if ni vyakula so vyakula gani vya protein?
Wewe ni Kaka yake Shetani baba mmoja mama mmoja na jina lako linashabihiana na yaliyomoTumia vidonge vya ukimwi kuungia mbonga kama mbadala wa mchuzi mix.utanishukuru
Nguvu mwilini ninazo, na nguvu za kiume pia ninazo, nahitaji kuongeza mwili kidogoUnenepe ili iweje?
Wewe kula vyakula vya kuongeza nguvu mwilini siyo vya kongeza unene.
Milo mitatu kwa siku ninapataKula milo mitatu kwa siku kutoka.katika kila kundi, kwenye makundi ya chakula
Pata vitafunwa walau mara mbili kati ya mlo na mlo
Punguza mawazo
Kua na mpenzi
😃
Bila kuzingatia Jinsia ya mtu, naomba Ushauri wa Vyakula vya kutumia ili mtu anenepe apendavyo yeyeJinsia yako?
Ahsante, ntaitafuta hiiView attachment 2689983
Ni munganiko wa vyako ambavyo ni vijenzi vya mwili ipo katika mfumo wa powder. Inatumika as food replacement ku recover mwili
Kaka pepo Bwana Wakati mwingine sijui Mdogo wako anazibeba zote anakuachia kichwa kizibo🤓😁Tumia vidonge vya ukimwi kuungia mbonga kama mbadala wa mchuzi mix.utanishukuru
Ukiongeza unene hizo nguvu ulizonazo ndiyo unaziambia kwaheri.Nguvu mwilini ninazo, na nguvu za kiume pia ninazo, nahitaji kuongeza mwili kidogo
Ulivoanza tu "chukua pumba" nikajua unaongea Pumba hata sijaendelea kusoma.Chukua pumba
chukua mashudu
changanya na molasisi vyote
bada ya wiki utanishukuru
Sawa, hili nalo ntakwenda kulitizamaChukua maziwa fresh,tende,ufuta na ndizi mbivu kisha saga kwenye blender,kunywa kwa siku angalau mala tatu au zaidi.
ukipata ndizi zilizoiva sana ni bora zaidi.
Fanya mazoezi haya ili mwili wako ukae vizuri👇
Jumping jack.
Push ups.
Squats.
Sit up.
View attachment 2690274View attachment 2690275
View attachment 2690276
View attachment 2690278
View attachment 2690280