PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Ofisi yake ipo bar??Cheki na huyu jamaa, ni wakala mzuri sanaView attachment 1282180
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofisi yake ipo bar??Cheki na huyu jamaa, ni wakala mzuri sanaView attachment 1282180
Nilikua natania tuu...kuna jamaa kaleta Uzi wa kuuziwa gari hewa ndo ka attach picha za hao matapeliOfisi yake ipo bar??
Karibu sana Kimomwe Motors (T) Ltd tukuhudumie. Hakuna gharama ya ziada kama inavyosemwa na baadhi ya wachangiaji kwa kua tunafanya mchakato mzima kwa uwazi tukiangazia CIF, Ushuru na Bandari. Tupigie 0746267740, au tembelea ofisi zetu za Magomeni Mapipa, Mbeya soko Kuu la Mwanjelwa na Dodoma tunafungu hivi karibuni.Wanajamvi naomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu na uzoefu wa wakala wa uagizaji magari kutoka nje ambao hawana longo longo.
Nenda ukawaone KIMOMWE MOTOR'S ni wazuri zaidi kuliko, wako faster na reliable, wapo apo Magomeni.
Hongera mkuu umeingia JF wiki mbili tu ushapata ya kununua gari.Wengine wamekaa huku tangu watoto hata toroli badoWanajamvi naomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu na uzoefu wa wakala wa uagizaji magari kutoka nje ambao hawana longo longo.
Mkuu kuagiza gari unaweza kuagiza mwenyewe kwa njia ya mtandao kutegemea na aina ya gari nchi unayotaka kuagiza gari pamoja na bajeti yako.Jambo la Muhimu ni wewe kufahamu tu kile unachotaka kusaidiwa.Kama unahitaji msaada zaidi tuwasiliane kwa ushauri zaidi.
Arovera Shukrani sana kwa kutambua na kuthamini huduma zetu boss. Hakuna aliyepata huduma za Kimomwe Motors akajutia badala yake hua wanashangaa kwa nini gharama ni chini zaidi wakija kuagiza nasi tofauti na kwenda sehem nyingine moja kwa moja!!Kwa sasa kuna hawa kimomwe naona wako poa na hata bei ukiongea nao hua zinapungua sana
Mkuu navamia uzi hapa! Mie nataka Spacio new model inshaallqh niivute mwakani hapo.
Naomba estimation za hizo bei.
Toyota premio
hiyo gari ukipata safari kumsalimia mkwe kijijini utapita kwenye mito kweli ?Toyota premio
hiyo gari ukipata safari kumsalimia mkwe kijijini utapita kwenye mito kweli ?Toyota premio
Kwanini usiagize mwenyewe mbona ni rahisi tuNenda ukawaone KIMOMWE MOTOR'S ni wazuri zaidi kuliko, wako faster na reliable, wapo apo Magomeni.
Umejuaje kama ameolea au kuolewa na watu wa polinihiyo gari ukipata safari kumsalimia mkwe kijijini utapita kwenye mito kweli ?
Watu wengi ujinga umewajaa. Na hao mawakala wanawaambia kuwa ukiagiza unaeza letewa gari tofauti na uloagiza. Mara litachelewa... vitu vitaibiwaKwanini usiagize mwenyewe mbona ni rahisi tu
HONDA CR-V 2005gari gani nikupe calculation zote
HONDA CR-V 2005
| Arrival Port | Delivery Destination | Service Details | Total Price |
|---|---|---|---|
| DAR ES SALAAM | (port) | ||
| DAR ES SALAAM + Clearing |
| $4,622 |