Daaah!!!! Mitanzania or Miafrica ni Shidaah!!, yaani mitu inafurahia kuperekeshwa, kudhalilishwa na kuporwa mali ndio ijue kuwa mtu anawatumikia. Ulifurahia sana uhalifu uliokuwa unafanywa jijini Dar-es-Salaam kipindi cha HUYO MTU WAKO chini ya Maelekezo ya KIONGOZI MKUU. Ndugu yangu Viongozi kama HUYO MTU WAKO hawatakiwi kwenye uongozi wa MAMA.
Ni kheli ungeulizia je Watu waliopotezwa ni nani mhusika mkuu, Je risasi kwa Tundu lissu waliokuwa nyuma ya matukio haya ya Kialifu ni hakina nani, na wale watu walikuwa wanaokotwa kwenye Viroba na waandishi wa habari kupotezwa nini kiliisibu Tanzania Kipindi hicho. Kwani HUYO MTU WAKO alipowaitaa akina mama wote wa jiji la Dar-es- salaam ili wamueleze matizo ya ndoa zao wewe uliona huyo MTU WAKO alikuwa sahihi na je solution ilipatikana.
Watanzania Waliobatizwa jina la WASALITI Wameumizwa sana kwa Wakati huo huo hao Watesi wakijipa jina la WAZALENDO so hawako tayari kurudishwa Babeli or Kosovo/Somalia. Kama unampenda sana HUYO MTU wako, wakusanye wote na yule wa HAI wapereke kwenye ukingo wa Mto Gaza tuone kama wao ni wanaume kweli. Pathetic unashadidia Criminals. Hatuhitaji Kuchangamchwa tunahitaji "Kuongozwa"...Hatuhitaji Kiongozi "anayesema JiJi lake bali asemi "Jiji la Dar-es-Salaam".