Naomba kufahamu Wasifu wa Amos Makalla

Naomba kufahamu Wasifu wa Amos Makalla

Daaah!!!! Mitanzania or Miafrica ni Shidaah!!, yaani mitu inafurahia kuperekeshwa, kudhalilishwa na kuporwa mali ndio ijue kuwa mtu anawatumikia. Ulifurahia sana uhalifu uliokuwa unafanywa jijini Dar-es-Salaam kipindi cha HUYO MTU WAKO chini ya Maelekezo ya KIONGOZI MKUU. Ndugu yangu Viongozi kama HUYO MTU WAKO hawatakiwi kwenye uongozi wa MAMA.

Ni kheli ungeulizia je Watu waliopotezwa ni nani mhusika mkuu, Je risasi kwa Tundu lissu waliokuwa nyuma ya matukio haya ya Kialifu ni hakina nani, na wale watu walikuwa wanaokotwa kwenye Viroba na waandishi wa habari kupotezwa nini kiliisibu Tanzania Kipindi hicho. Kwani HUYO MTU WAKO alipowaitaa akina mama wote wa jiji la Dar-es- salaam ili wamueleze matizo ya ndoa zao wewe uliona huyo MTU WAKO alikuwa sahihi na je solution ilipatikana.

Watanzania Waliobatizwa jina la WASALITI Wameumizwa sana kwa Wakati huo huo hao Watesi wakijipa jina la WAZALENDO so hawako tayari kurudishwa Babeli or Kosovo/Somalia. Kama unampenda sana HUYO MTU wako, wakusanye wote na yule wa HAI wapereke kwenye ukingo wa Mto Gaza tuone kama wao ni wanaume kweli. Pathetic unashadidia Criminals. Hatuhitaji Kuchangamchwa tunahitaji "Kuongozwa"...Hatuhitaji Kiongozi "anayesema JiJi lake bali asemi "Jiji la Dar-es-Salaam".
Atakuwa alinufaika kwa namna moja ama nyingine
 
Kwa nini alitumbuliwa na jiwe?
Makala ni kiongozi mchapa kazi hodari, mfuatiliaji, huwezi kumhonga wala kumrubuni.

kwa kifupi ni mtu mwenye msimamo, kwake yeye nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe.

Mhe. RC Makala tunaomba utembelee kituo cha Mabasi cha Magufuli na uone ni jinsi gani unaweza kufanya kwa kushirikiana na Waziri wa TAMISEMI.

Kituo cha Mabasi cha Magufuli ni chanzo Kikubwa cha Mapato cha Mkoa wa DSM na Taifa kwa ujumla endapo tu kutakuwa na udhibiti na ufuatiliaji, usisubiri watu wapige weeee ndio mnaaanza kusema, mimi nimesema mapemaa kabisa kuwa fuatilia kituo cha mabasi cha Magufuli.
 
Nimeamka naona mkeka Amos Makalla atapangiwa kazi nyingine:Amewahi kuwa naibu Katibu mkuu uvccm; Katibu mkuu uvccm walipiga kazi na Dr Nchimbi
Akateuliwa mweka hazina ccm akafanya kazi nzuri sana ccm ndiye aliyesimamia ununuzi magari yote ccm
Akawa naibu waziri michezo baadaye maji
Amepelekwa ukuu wa mikoa mbeya Dsm mwanza Kilimanjaro na katavi
Sitoshangaa kurudi Ccm ni mtu wa mikakati na mbobezi mambo ya propaganda
 
Wabongo wengi sisi ni mazezeta anyways acha muendelee kupeana ulaji tu kila siku ni nyie na familia zenu.
 
Zamani nilikuwa nikisikia mtu atapangiwa kazi nyingine najua amepigwa chini kumbe huwa wanapangiwa kweli
 
Nimeamka naona mkeka Amos Makalla atapangiwa kazi nyingine:Amewahi kuwa naibu Katibu mkuu uvccm; Katibu mkuu uvccm walipiga kazi na Dr Nchimbi
Akateuliwa mweka hazina ccm akafanya kazi nzuri sana ccm ndiye aliyesimamia ununuzi magari yote ccm
Akawa naibu waziri michezo baadaye maji
Amepelekwa ukuu wa mikoa mbeya Dsm mwanza Kilimanjaro na katavi
Sitoshangaa kurudi Ccm ni mtu wa mikakati na mbobezi mambo ya propaganda
Chawa mtabaki kuwa chawa hadi viroboto. Ccm ina wenyewe. Mtabaki kusikia Nnauye, Makamba, Kawawa Mongela, nyie pigeni makelele tuu mitandaoni. Shenzi kabisa. Wao wata baki mtoe hapa mpeleke pale. Mta vuta bangi na kula sembe hadi muwe kama benzi
 
Chawa mtabaki kuwa chawa hadi viroboto. Ccm ina wenyewe. Mtabaki kusikia Nnauye, Makamba, Kawawa Mongela, nyie pigeni makelele tuu mitandaoni. Shenzi kabisa. Wao wata baki mtoe hapa mpeleke pale. Mta vuta bangi na kula sembe hadi muwe kama benzi
Ushauri wako mkuu ni upi
 
Back
Top Bottom