Naomba kufanyiwa interview ya fungua mwaka

Naomba kufanyiwa interview ya fungua mwaka

Latoya

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
660
Reaction score
457
Habari za mida wana ukumbi .
kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba mhusika wa interview anifanyie mahojiano ya live meaning majibu ya papo kwa hapo.

Nitajibu anything mtakachohitaji sikia toka kwangu .

Naomba iwe any day ya Friday kuanzia saa nane mchana within these 2 weeks.

Natanguliza shukran

Wasalaam

Latoya.
 
Unataka interview lakin ukumbuke tu, Dj sepetu awali alikuwa anaitwa 'Muosha rungu'
 
Unataka interview lakin ukumbuke tu, Dj sepetu awali alikuwa anaitwa 'Muosha rungu'
Hivyo eeh
I don't know,anyway hayanihusu sana hayo ni his personal stuff
 
Katika hao waliokutongoza kuna mmoja au wawili ambao wamekugusa kwa namna moja au nyingine na unafikiria kuwavulia picchu? ID yako ya zamani ni ipi Latoya?

Habari za mida wana ukumbi .
kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba mhusika wa interview anifanyie mahojiano ya live meaning majibu ya papo kwa hapo.

Nitajibu anything mtakachohitaji sikia toka kwangu .

Naomba iwe any day ya Friday kuanzia saa nane mchana within these 2 weeks.

Natanguliza shukran

Wasalaam

Latoya.
 
Habari za mida wana ukumbi .
kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba mhusika wa interview anifanyie mahojiano ya live meaning majibu ya papo kwa hapo.

Nitajibu anything mtakachohitaji sikia toka kwangu .

Naomba iwe any day ya Friday kuanzia saa nane mchana within these 2 weeks.

Natanguliza shukran

Wasalaam

Latoya.
Kwa kuwa kuna thread umesema unatembea na Mume wa Mtu, Je unajisikiaje ukiwa mwanamke uliyezalishwa na kuachwa na mwanaume kuwa kimada wakati una sifa za kumiliki mwanaume wako ...? Au na wewe unaogopa Kuibiwa kama unavyowaibia wanawake wenzio?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Katika hao waliokutongoza kuna mmoja au wawili ambao wamekugusa kwa namna moja au nyingine na unafikiria kuwavulia picchu? ID yako ya zamani ni ipi Latoya?
Siku wakikufanyia wewe nistue.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimeshaombwa na wengi tu humu tena hadharani lakini sikuona umuhimu wa kufanya interview hiyo. Hivi weye ulishawahi kufanyiwa interview humu? Kama hujafanyiwa je uko tayari kuifanya?

Siku wakikufanyia wewe nistue.
 
Back
Top Bottom