Bakari China
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 254
- 588
Kama tujuavyo, Kiswahili husifiwa kama lugha ya rasmi ya Tanzania. Lakini kabla ya kusanifishwa, Kiswahili kilikuwa kimeandikwa kwenye herufi ya Kiarabu kwa muda mrefu sana. Naomba kuwauliza ninyi wapendwa wenzangu wa JF, nani mtaalamu wa lugha anaweza kunifundisha Kiswahili kilichoandikwa kwenye maandishi ya Kiarabu?
Nahitaji kukisoma kitabu chenye umri zaidi ya miaka 100, lakini nimeshindwa kuelewa kinachosema. Hebu mtaalamu yupi anisaidie! Shukran
Nahitaji kukisoma kitabu chenye umri zaidi ya miaka 100, lakini nimeshindwa kuelewa kinachosema. Hebu mtaalamu yupi anisaidie! Shukran