Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Naomba kufundishwa kupigq ule mluzi wa kelele kali. Achana na huu wa kuimbia nyimbo. Au kuna watu haiwezekani kabisa kupiga mluzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya mitatu jero mkuu😀😀Kila mluzi utalipia jero
Aisee labda tufanye miluzi miwili kwa jero.Fanya mitatu jero mkuu😀😀
Hapo ntakwama mkuu. Ngoja nicheki wadau wengine.Aisee labda tufanye miluzi miwili kwa jero.
Hii miluzi yangu nilijifunza kwa gharama kubwa sana pale Chato kwa ajili ya kuswaga ng'ombe pale kwenye uwanja wetu wa kimataifa.
Kila la kheri! kuwa makini kwenye kazi yako usije gombana na abiria jitahidi kuwa mvumilivu maana abiria wengine ni changamoto...Naomba kufundishwa kupigq ule mluzi wa kelele kali. Achana na huu wa kuimbia nyimbo. Au kuna watu haiwezekani kabisa kupiga mluzi?
Naomba unifundishe ila mimi nahitaji kuja physicallyJuzi daladala ilikuwa inaondoka kuiwahi nikapiga mluzi unaompa ishara dereva kuwa Kuna abiria akageuka chap kukuta ni mwanamke akaishia kucheka.Sasa tuingie mzigoni mkuu,unataka mluzi upi....niijuayo ni wa kuitia mbwa,kufukuzia kuku,kuitia mtu aliye mbali,kuchungia ng'ombe,mbuzi,kondoo na kupigia kelele kwenye sherehe.Karibu
Na huyo inabidi aje ana Kwa anaNaomba unifundishe ila mimi nahitaji kuja physically
Kila mluzi utalipia jero
mbona aijaelewa,wewe ndo mwanamke au konda ulimshtua ili amuone mwanamke mwingine.Juzi daladala ilikuwa inaondoka kuiwahi nikapiga mluzi unaompa ishara dereva kuwa Kuna abiria akageuka chap kukuta ni mwanamke akaishia kucheka.Sasa tuingie mzigoni mkuu,unataka mluzi upi....niijuayo ni wa kuitia mbwa,kufukuzia kuku,kuitia mtu aliye mbali,kuchungia ng'ombe,mbuzi,kondoo na kupigia kelele kwenye shereh.
mbona aijaeleweka,wewe ndo mwanamke au konda ulimshtua ili amuone mwanamke mwingine.Juzi daladala ilikuwa inaondoka kuiwahi nikapiga mluzi unaompa ishara dereva kuwa Kuna abiria akageuka chap kukuta ni mwanamke akaishia kucheka.Sasa tuingie mzigoni mkuu,unataka mluzi upi....niijuayo ni wa kuitia mbwa,kufukuzia kuku,kuitia mtu aliye mbali,kuchungia ng'ombe,mbuzi,kondoo na kupigia kelele kwenye shereh.
Ule wa kelele. Wa kuitia bodaboda.Juzi daladala ilikuwa inaondoka kuiwahi nikapiga mluzi unaompa ishara dereva kuwa Kuna abiria akageuka chap kukuta ni mwanamke akaishia kucheka.Sasa tuingie mzigoni mkuu,unataka mluzi upi....niijuayo ni wa kuitia mbwa,kufukuzia kuku,kuitia mtu aliye mbali,kuchungia ng'ombe,mbuzi,kondoo na kupigia kelele kwenye sherehe.Karibu
Hahah namuona mleta mada akiijaribu hii,sipo mazingira mazuri ya kufanya hili zoezi ngoja nitafanya nikiwa peke yangu hapa nilipo naweza onekana chizi maana nitakuwa napiga mluzi wa kazi gani sasa?Haya, mkono wa kuume weka kidole cha pili na cha tatu kutoka kikubwa, viweke katikati ya mdomo, yaani gawa lips sehemu mbili, puliza,
Jitahidi kurekebisha vidole mpaka upate mlio mkubwa.
Please feed me back.