Naomba kuifahamu kampuni ya Rise Africa Investment

choupa moting

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
1,508
Reaction score
2,563
Mwenye full details za hawa jamaa aniandikie tafadhali. Kuna jamaa yangu kajitosa huko eti unawatumia hela kiasi kama yeye kawatumia laki mbili km mtaji then baada ya wiki wamlipe laki moja, wiki nyingine laki moja then wiki ya tatu elfu hamisini kwahiyo atakua na kama laki 250 kwa wiki tatu. Alituma j5 iliyopita wakidai leo wanampa mrejesho then jamaa wamekula kona.

Mwenye detail kamili za hawa matapeli wapya tafadhali aujulishe umma.
 
Last edited by a moderator:
Sema umetuma hela, sio unakaa unaandika unasingizia rafiki yako.

Any way hapo umeliwa mkuu, yaani unatuma hela hata mtu humjui.?
 
Sema umetuma hela, sio unakaa unaandika unasingizia rafiki yako.

Any way hapo umeliwa mkuu, yaani unatuma hela hata mtu humjui.?

Mkuu cna upuuzi wa kutuma pesa kwa mtu nisiyemjua. Mchiz nlikutana nae usiku huu ndio akanipa huo mchongo, nimemkatalia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…