isackmoses
New Member
- Oct 21, 2024
- 1
- 1
Wakuu habari za muda huu naomba kujifunza namna ya kutengeneza proposal ya kuanzisha kampuni ya utalii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda chatgptWakuu habari za muda huu naomba kujifunza namna ya kutengeneza proposal ya kuanzisha kampuni ya utalii
Kama hana abc hata huko atachemka. Watu bado wanahitaji human centred training and assistance..kisha ukiwa na ABC utaweza saidiwa na chatgptNenda chatgpt
Kweli aisee kama hana A,B,C,D itakuwa ngumu sanaKama hana abc hata huko atachemka. Watu bado wanahitaji human centred training and assistance..kisha ukiwa na ABC utaweza saidiwa na chatgpt
Na kwa nchi zetu mtu anataka kuminimize cost kwa kujua na kufanya kila kitu, specialisation ni kama haifanyi kazi ktk mifumo yetu na ujio wa akili bandia (AI) ndo kabisaa unazidi kuua elimu zetu za kuunga unga na za kukaririKweli aisee kama hana A,B,C,D itakuwa ngumu sana
Uaandikaji wa Business plan sio jambo la kitoto bila kuwa na taarifa kamili za biashara au eneo unalotaka kufanyia biashara itakuwa ni changamoto sanaNa kwa nchi zetu mtu anataka kuminimize cost kwa kujua na kufanya kila kitu, specialisation ni kama haifanyi kazi ktk mifumo yetu na ujio wa akili bandia (AI) ndo kabisaa unazidi kuua elimu zetu za kuunga unga na za kukariri
Ni kweli..mimi ni mmojawapo mwenye shughuli hizo za uandishi wa miradi yoyote..ila tunakumbana na UJUAJI mwingi wa wateja..mara atacopy na kupaste BP ya mtu, kuna mtu alikuwa serious kabisa nikampa na gharama na mchakato wote....akasema anataka kujua umahiri wangu kwahiyo nimpe japo kazi moja ..aisee nikampa ndo ikawa mazima..siku akajichanganya kumbe kaenda kuedit kazi yangu ifit kwake...anyway mhimu ni kuwa ANDIKO lolote la mradi ni nyenzo mhimu sana kwa mustakabali wa mradi husika sasa na badae. Ukiandikiwa haina maana kuwa mwenye mradi ni mbumbumbu ila umeamua mtu afanye bila kupendelea aspect yoyote..na usipende eti business plan mfano siku moja tu iwe tayari..hapana..uandishi huo ni process, unahitaji data zote mhimuUaandikaji wa Business plan sio jambo la kitoto bila kuwa na taarifa kamili za biashara au eneo unalotaka kufanyia biashara itakuwa ni changamoto sana
Naelewa Mkuu, sasa hukuchukua hata advance?Ni kweli..mimi ni mmojawapo mwenye shughuli hizo za uandishi wa miradi yoyote..ila tunakumbana na UJUAJI mwingi wa wateja..mara atacopy na kupaste BP ya mtu, kuna mtu alikuwa serious kabisa nikampa na gharama na mchakato wote....akasema anataka kujua umahiri wangu kwahiyo nimpe japo kazi moja ..aisee nikampa ndo ikawa mazima..siku akajichanganya kumbe kaenda kuedit kazi yangu ifit kwake...anyway mhimu ni kuwa ANDIKO lolote la mradi ni nyenzo mhimu sana kwa mustakabali wa mradi husika sasa na badae. Ukiandikiwa haina maana kuwa mwenye mradi ni mbumbumbu ila umeamua mtu afanye bila kupendelea aspect yoyote..na usipende eti business plan mfano siku moja tu iwe tayari..hapana..uandishi huo ni process, unahitaji data zote mhimu
Sikuchukua alitaka aone kazi mojawapo ili aamini ...kumbe alitaka kivingine...ndio mana kwasasa mtu asiniambie aone kazi nilizofanya...mhimu yeye alete maswali yake ya anachotaka kufahamu kuhusu ninachoweza kufanya ..la kama hajui basi aniachie na aniamini mimi nimejinasibu nafanya kazi hizo....ni za "kishule" means kama sijui sio rahisi kujitangaza, sio kazi ya kila mtu kufanya..inataka kila wakat unapeluze, unasoma, unatafuta data..wengi wavivu ktk hili..pia mwisho wa kazi natakiwa kumpa Summary kwa lugha rahis kilichoandikwa...Naelewa Mkuu, sasa hukuchukua hata advance?
Mkuu naomba uni PM mawasiliano/email yako utasaidia kuniandikia BP siku moja Mimi na rafiki yanguSikuchukua alitaka aone kazi mojawapo ili aamini ...kumbe alitaka kivingine...ndio mana kwasasa mtu asiniambie aone kazi nilizofanya...mhimu yeye alete maswali yake ya anachotaka kufahamu kuhusu ninachoweza kufanya ..la kama hajui basi aniachie na aniamini mimi nimejinasibu nafanya kazi hizo....ni za "kishule" means kama sijui sio rahisi kujitangaza, sio kazi ya kila mtu kufanya..inataka kila wakat unapeluze, unasoma, unatafuta data..wengi wavivu ktk hili..pia mwisho wa kazi natakiwa kumpa Summary kwa lugha rahis kilichoandikwa...