naomba kujitambulisha kwenu wana jukwaa

vam1

New Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
3
Reaction score
4
nianze kwa kushukuru uongozi wa JF kwa kunipa nafasi ya kujiunga na mtandao huu wenye kutembelewa na watu wengi nadni na nje ya Tanzania.
pia naombeni ushirikiano wenu na mimi nitakuwa tayari kutoa ushirikiano wangu kwa kutoa mchango katika mada mbalimbali kadri ya ufaham na uzoefu wangu.
kwa leo naishia hapa. Naomba mnipokee.
Ahsanteni!
 
Karibu sana mkuu!

ila kuna chagamoto za kuitwa kilaza, akili zako finyu,nyambafff n.k utavumilia.
 
huku ndio kuomba kazi au tenda ??
 
Habari za mihangaiko ya kila siku wana jf nimekua nikifuatilia sana mijadala mbalimbali inayojadiliwa humu, nimevutiwa na kila kitu kinachofanyika ndani humu hasa changamoto.mbalimbali. Naomba kupokelewa na mie nijifunze mapya nisioyajua hodi hodi wana jf
 
Karibu karibu sana mpaka chumbani. Hapo kwenye fridge pembeni kuna vinywaji mbali mbali ikiwemo togwa na vitafunwa vya aina mbali mbali. Jichane kwa raha zako kabla ya kuanza rasmi kuchangia katika mijadala mbali mbali.
 
ok karibu sana tena sana huku ukarimu ndio jadi yetu,karibu sana mradi unapoingia huku usiwe na stress tu vngnevyo utakwazwa.
 
karibu sana asee,,hii,ndo sehemu pekee,kwa sasa ndani ya tanzania unaweza omba upewe chance,na ukakubaliwa bila kuombwa rushwa a.k.a chochote,,,
 
karibu ila ukiwa unataka kuandika kitu unaangalia na jukwaa husika
 
Nenda Jukwaa La Utambulisho ukajitambulishe.
 
Karibu ila huku kama we ni liccm utakua hujitambui!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…