nianze kwa kushukuru uongozi wa JF kwa kunipa nafasi ya kujiunga na mtandao huu wenye kutembelewa na watu wengi nadni na nje ya Tanzania.
pia naombeni ushirikiano wenu na mimi nitakuwa tayari kutoa ushirikiano wangu kwa kutoa mchango katika mada mbalimbali kadri ya ufaham na uzoefu wangu.
kwa leo naishia hapa. Naomba mnipokee.
Ahsanteni!
pia naombeni ushirikiano wenu na mimi nitakuwa tayari kutoa ushirikiano wangu kwa kutoa mchango katika mada mbalimbali kadri ya ufaham na uzoefu wangu.
kwa leo naishia hapa. Naomba mnipokee.
Ahsanteni!