Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Wakuu..
Navuviwa na Karama kuponya mioyo iliyopondeka kwa adha mbali mbali kupitia huduma ya uimbaji? Naomba kama kweli kuna Kundi ambalo linaimba kwa haki na Kweli na Nyimbo zao zina Gusa shida za watu na kupitia nyimbohizo Ushuhuda na Uponyaji hutokea naomba connections? Mimi ni mtunzimzuri sana lakini huduma yangu nataka nifanye impartation kubwa sana na iwe ya uponyaji zaidi kuliko ya kuingiza kipato na kutoa albam ambazo hazina impact kwenye shida za wapendwa wetu.
Awali ya Yoyote Mwaka 2020 ni Mwaka wa ukombozi hivyo nahitaji kupitia nyimbo za niweze kuwa sehemu ya huo ukombozi..
Mungu Anawapenda.!! kuna uvuviwo nashindwa kuuzuziwa
Navuviwa na Karama kuponya mioyo iliyopondeka kwa adha mbali mbali kupitia huduma ya uimbaji? Naomba kama kweli kuna Kundi ambalo linaimba kwa haki na Kweli na Nyimbo zao zina Gusa shida za watu na kupitia nyimbohizo Ushuhuda na Uponyaji hutokea naomba connections? Mimi ni mtunzimzuri sana lakini huduma yangu nataka nifanye impartation kubwa sana na iwe ya uponyaji zaidi kuliko ya kuingiza kipato na kutoa albam ambazo hazina impact kwenye shida za wapendwa wetu.
Awali ya Yoyote Mwaka 2020 ni Mwaka wa ukombozi hivyo nahitaji kupitia nyimbo za niweze kuwa sehemu ya huo ukombozi..
Mungu Anawapenda.!! kuna uvuviwo nashindwa kuuzuziwa