KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Hayo yote inapaswa uwe unatoka taarifa mapema.Ndio nasema unaongelea kitu kwa madhania, issue ni kuwa nipo busy na professional job kwa sasa sitangazi biashara kuhusu mizigo ya watu walioagiza imefika muda tu na muhusika wa Tanzania alifanyiwa operation
Mtu kama wewe ndio mnarudisha maendeleo nyuma na mkizeeka mnakuwa wachawi
Hujasoma vizuriMkuu unasema group number 2 liko kimya. Kwamba hakuna anayeulizia mzigo wake? Kwamba namsingizia?
Niweke screenshots hapa?
Bora ukiweka screenshots ili watu waone wamtambue huyu mtu. Mimi nilishajipanga nimtafute hatari....Mkuu unasema group number 2 liko kimya. Kwamba hakuna anayeulizia mzigo wake? Kwamba namsingizia?
Niweke screenshots hapa?
NakaziaHi,Naomba ambaye amefanikiwa kuanzisha au kumiliki biashara ya vyombo vya majumbanii kama vilee mabakuli,sahani ,vikombe..nk naomba kuelewa amekumbana na changamoto zipi na vipi imemlipa kiasi thanks please naombenii nina mpango wa kuanza hii biashara
Mosinaomba kuelewa amekumbana na changamoto zipi na vipi imemlipa kiasi thanks please naombenii nina mpango wa kuanza hii biashara
Ilaa kweli nashukuru kwa kimawazo yako mazuriiMosi
Changamoto kamwe hazifanani
Kama umejipanga kuanza Anza mara moja
Swala la kulipa hii inategemea wewe utapata wapi mzigo wako na utauuzaje
Muhimu
Anza na kidogo yaani kama una laki 5 anza na laki3 then ile mbili utakua kila ukipokea maoni ya wateja wako faster unaongezea mzigo.
Ila anza mara moja usisubiri
BarikiwaIlaa kweli nashukuru kwa kimawazo yako mazurii
[emoji3513]0674 7454 63 WhatsApp.., Call.. & SMSNaomba mnisaidie kujua ni wapi au maduka gani na yako wapi yanayo uza vyombo vya ndani kwa bei ya jumla nisaidieni jamani
Kama nikitaka robo tani utauza kwa bei gani
Mimi nafanya naagizisha direct China vya kupima kwa Tani ni mchanganyiko, niko navyo vipo njiani vinafika mwezi wa 8 naweza kukuuzia robo tani ukihitaji
General Topics Post (Japan) kupitia kwenye hii plaform utapa vyombo vy amtumba kutoka Japan bei zao zakawaida sanaJf nadhani hamshindwi jambo lolote ikiwemo pamoja maoni mbalimbali nataka kuanza biashara ya kuuza vyombo vya nyumbani mtaji wangu ni m3 sehemu ya kuuzia ninayo lakini naona ni bora nitafute kitu cha kuchanganya hapo angalau kila siku nipate elf50
================================
==========================================
MAJIBU
==============================