Naomba kujua alipo Sauda Mwilima

Naomba kujua alipo Sauda Mwilima

Sauda analea mtoto na baba mtoto sasa
Mkuu kapata mtoto? Mashaallah maana watoto wa2 walifia tumbon kipind cha nyuma ikasemekana ni kutokana na matumiz ya kemikali sumu anazotumia kwenye ngozi yake
 
Yuko wap Ndimwake Mwakalyeye alikua anatangaza kipindi cha Africa 54 cha VOA pamoja na Vicent Makori....yuko wap???
 
Hallo wana jf, yule mdada Nilimmandi kidizain alivokuwa star TV.
Sahiv yupo wap,? Kaacha utangazaji? Family anayo?


Yupo mwingine naye alikuwa TBC zamani naye alikuwa mtangazaji akiitwa "Saida Mwilima" acha huyo wa star tv "Sauda Mwilima"--- huyo naye kapotelea wapi??
 
Back
Top Bottom