Naomba kujua Bajeti inayotosha kutembelea Zanzibar

Naomba kujua Bajeti inayotosha kutembelea Zanzibar

Nauli 35,000 × 4 (kwenda na kurudi, kutoka Dar)...Business class.
Room 100,000 ×7 = 700,000
Nauli ndani ya Zenji 120,000 (7days)
Chakula + drinks 30,000 × 7
Viingilio si zaidi ya Tsh.20,000 per kichwa.

Hivyo andaa kama mil.moja hivi, hayo mengine yatajiadjust humohumo.

Hii naiunga mkono, kama hatahitaji kununua chochote, ila akinunua itabidi ajibane zaidi.

Wiki ni kubwa sana kukaa Zanzibar kama una hela ya mawazo.

Zanzibar kama unataka kuinjoi jipange uende shamba siyo ukae mjini.
 
Kwa wenzetu wazungu ambao wanakuja kwa ajili ya kujua historia, kunaweza kuwa kuzuri, ila kwa sisi wabongo ni ngumu kuuon uzuri wake.

Nimeshajaribu kuzungukia maeneo mengi ili niuone uzuri wa Zanzibar, aisee nimeshindwa. Ila utakuta wazungu wamejaa na wanainjoi kweli.
Tukizungumzia kwa Unguja,ukiachana na majengo ya kihistoria maeneo mengi ni ya kawaida kabisa!

Labda baadhi ya maeneo ya shamba kama Nungwi, Kiwengwa,kwenye mahotels ni kuzuri
 
Kwa wenzetu wazungu ambao wanakuja kwa ajili ya kujua historia, kunaweza kuwa kuzuri, ila kwa sisi wabongo ni ngumu kuuon uzuri wake.

Nimeshajaribu kuzungukia maeneo mengi ili niuone uzuri wa Zanzibar, aisee nimeshindwa. Ila utakuta wazungu wamejaa na wanainjoi kweli.
Kwa ufupi watanzania hatuna desturi ya kutalii ili kujifunza kwa kuona mandhari na viumbe vilivyomo, mfano ukienda Nungwi high season pale mnarani wanapofuga turtles utakuta kule kumefurika watu weupe tu, wabongo anakuwa mmoja mmoja..
 
Kwa wenzetu wazungu ambao wanakuja kwa ajili ya kujua historia, kunaweza kuwa kuzuri, ila kwa sisi wabongo ni ngumu kuuon uzuri wake.

Nimeshajaribu kuzungukia maeneo mengi ili niuone uzuri wa Zanzibar, aisee nimeshindwa. Ila utakuta wazungu wamejaa na wanainjoi kweli.

Mm labda niende kuchukua namba kwa madem wa kizungu, nipate connection ya kusepa bongo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
1. Download App inaitwa AirBnb
-hii itakusaidia kupata sehemu nzuri ya malazi kwa bei nafuu lets say price
2. Andaa nauli yako minimum 25,000 na maximum ni 80,000 hii ni kwenda tu na bei inategemea na class inayotaka wewe

3. Andaa pesa ya usafiri hasa kama utataka kwenda shamba ndio kuna starehe kwakua mpo wawili unaweza ukakodi gari IST ni 35,000 siku nzima

4. kwa upande wa chakula hapo unaweza kuestimate costs mwenyewe figures ninazoweka hapa chini ni kwa lunch and dinner tu na nimekadiria tu ila kwa kujibana kishkaji inaweza ikapungua au ikazidi
-maji 4000
-juice elf 8000
-chakula 25,000

nimekupa general overview kuhusu gharama utajua kwa kukadiria maelezo hapo juu
Thank. You sana boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom