ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Salam za mwaka mpya wadau.
Kuna rafiki yangu kaniomba nimtafutie bei za jumla za dagaa kavu katika soko la Kariakoo. Yeye anataka kusupply hapo sokoni.
Naelewa huwa zinabadilika kutokana na demand and supply. Ningefurahi ikiwa mdau atanipatia minimum-maximum prices au hata average prices.
1. Dagaa wa Mwanza
2. Dagaa wa Bukoba
3. Dagaa wa Zanzibar
4. Dagaa a.Kigoma
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Kuna rafiki yangu kaniomba nimtafutie bei za jumla za dagaa kavu katika soko la Kariakoo. Yeye anataka kusupply hapo sokoni.
Naelewa huwa zinabadilika kutokana na demand and supply. Ningefurahi ikiwa mdau atanipatia minimum-maximum prices au hata average prices.
1. Dagaa wa Mwanza
2. Dagaa wa Bukoba
3. Dagaa wa Zanzibar
4. Dagaa a.Kigoma
Natanguliza shukran zangu za dhati.