Naomba kujua bei za magarì ya IT Dar-Mbeya

Jimmy George

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
1,733
Reaction score
1,648
Habari wanabodi !
Kama heading inavyosema kwa wazoefu naomba kujua jamaa wale wa magari ya IT huwa ni bei gani kutoka Dar mpaka Mbeya na huwa wanapatikana wapi kwa Dar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…