Naomba kujua bei za magarì ya IT Dar-Mbeya

Naomba kujua bei za magarì ya IT Dar-Mbeya

Jimmy George

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
1,733
Reaction score
1,648
Habari wanabodi !
Kama heading inavyosema kwa wazoefu naomba kujua jamaa wale wa magari ya IT huwa ni bei gani kutoka Dar mpaka Mbeya na huwa wanapatikana wapi kwa Dar.
 
Back
Top Bottom