Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Ila logic iliopo ni kwamba port ya Earphone/mic inatumia sound card ambayo ni built na vifaa vya usb vya audio kama sound card vinakuwa vinapitisha umeme wa kutosha kukuwezesha kutumia external sound card. Kutokana na hizi za kichina kuwa na quality mbovu ni vyema kutafuta Earphone ama mic za usb kabisa. Hizi zinakuwa na built in sound card ndani na kuwa na quality kubwa compare na sound card ya nje ukitumia na earphone/mic za kawaida.🙏🙏🙏